Ni kitu gani watu wengine huona kuwa cha kawaida ila wewe huwezi kufanya au kuwa nacho?

Ni kitu gani watu wengine huona kuwa cha kawaida ila wewe huwezi kufanya au kuwa nacho?

Kuna vitu ambavyo watu wengine wanaona kama trend au kawaida ila Mimi siwezi kufanya au kumiliki.Mfano kuweka na mito mingi kwenye kitanda,kuwa na Snapchat kwenye simu au account ya TikTok n.k! Wadau ni kitu au jambo gani hilo huwezi kufanya au kumiliki?
Mimi kitu ambacho siwezi kufanya ni ile kutamani au kuona wivu kwa ajili ya Mtu fulani. Siwezi kufanya kabisa maana haya maisha yana mambo mengi sana
 
Nagonga vizuri km niko na shoga angu au niko na mtu. Alone siwezi 😂
niliona jamaa moja anatafuna ice cream ya ukwaju kwa daladala, dah ni kama vile anafuna chupa, halafu meno yakiganzi anapose kidogo.. mpaka yapate moto kwanza anang'ata tena 🐒

mie mbavu sina nashindwa kujizuia kucheka🤣
namcheki jamaa anapambana iishe haraka ni kama kajishtukia watu wote walikua wanamcheki ..
 
niliona jamaa moja anatafuna ice cream ya ukwaju kwa daladala, dah ni kama vile anafuna chupa, halafu meno yakiganzi anapose kidogo.. mpaka yapate moto kwanza anang'ata tena 🐒

mie mbavu sina nashindwa kujizuia kucheka🤣
namcheki jamaa anapambana iishe haraka ni kama kajishtukia watu wote walikua wanamcheki ..
Uoga wako ndio umaskini wako. Jamaa asingewazingatia kabisaa amalize askrimu yake
 
Kuna vitu ambavyo watu wengine wanaona kama trend au kawaida ila Mimi siwezi kufanya au kumiliki.Mfano kuweka na mito mingi kwenye kitanda,kuwa na Snapchat kwenye simu au account ya TikTok n.k! Wadau ni kitu au jambo gani hilo huwezi kufanya au kumiliki?
Kuangalia Movie zilizotafsiriwa, au zile zinazooneshwa DSTV.
Kwenda bar mida ya usiku afu mtu anakunywa juice huwa nashangaa.
Kupaka ile super black
Pia nawashangaa wale unamkuta kavaa kipensi kifupi halafu kimebana afu unakuta mnene na kitambi duuuh
Wanaovaa Air max
 
Back
Top Bottom