Ni kitu gani watu wengine huona kuwa cha kawaida ila wewe huwezi kufanya au kuwa nacho?

Ni kitu gani watu wengine huona kuwa cha kawaida ila wewe huwezi kufanya au kuwa nacho?

1. Kubwa zaidi siwezi kuwa na mahusiano na watu wawili kwa wakati mmoja huwa najiuliza wanawake wenzangu wanawezaje kuwapanga hata watano Pia kuomba omba hela siwezi najisikia kama sio yaani.
2. Kwanza sina ticktok nawashangaa sana watu wazima wanaokesha kujiimbisha huko.
3. Kuzurula mitaani bila bila sababu maalumu au kutoka niende kwa watu siwezi kabisa kama sina sababu maalumu ya kutoka bora nikae ndani.
4. Kufwatana magrup ya akina Dada sijui kutoka out Mara kuenda vacation pamoja ni Mara mia nikatoka out na wanangu.
 
Kupiga show beach au kwenye swimming pool nlishashindwaga

Kutumia Viagra puturur na vumbi la
banacongo, mambo ya supu ya pweza & energy na Panadol naskiaga tu kwa marafiki

Kwenda church kila jpili nlishashindwa nkisali mara tano kwa mwaka inatosha

Kwenda kuangalia mechi uwanjani, kuhudhuria matamasha ya mziki kama fiesta aiseee kitambo kulishanishinda huko
Naenda kanisani kama mara nne hivi kwa mwaka.
 
Kupost vijembe whatsapp....mtu akipost vijembe aibu huwa naona mimi, kugombana kidogo wasapu mie siwezi!!!

Kujirekodi rekodi unaimba imba vinyimbo huku unafinya finya na kulamba midomo kisha kupost sijawahi na siwezi na huwa nashangaa wanaoweza wanawezaje
....well and good for u, sipendagi hayo maujinga, naonanaga hao wadada ni kama matahira hivi, am sorry to say this kwa wanaopenda!....
 
Back
Top Bottom