Ni kitu gani...?!

Ni kitu gani...?!

Swali: je ni kitu gani kinachoweza kukufanya uachane na mke/mme/mpenzi wako?!Ni kitu gani unafikiri akifanya au kikitokea kwenye mahusiano yenu baada ya muda hutoweza kuendelea kuvumilia?!

Binafsi vitu ambavyo vinaweza kuniondolea yale mapenzi nlokua nayo mwanzo ni ....
1. Kunipiga - mwanaume kuniinulia mkono mwanamke mzima ambae kama kuna tatizo angeweza kunijulisha kwa njia nyingine na likatatulika kwa kweli siwezi kuvumilia.Maana ukichekelea leo jiandae na kesho!!

2.Kutoka nje ya mahusiano. - sijui kama itatokea siku nikabadilisha mawazo kuhusu hili ...kwa sasa hivi naamini kama mtu ananipenda na kuniheshimu kweli hawezi kutoka nje ya mahusiano tuliyonayo.Kama kuna kinachokosekana aniambie nirekebishe.

3.Kunidharau/tukana mbele za watu - inaonyesha haniheshimu...na kama haniheshimu siwezi kuona tukiendelea hata kufika mbali zaidi ya kua wapenzi tu maana kuheshimiana ni muhimu.

4. Kuonyesha kutokujali hisia/mawazo yangu - mtu ambae anamwachia mwenzake kazi nzima ya kujenga mahusiano ni sawa na mzigo mzito ambao unabebeka ila baada ya muda unachosha.Kuna watu ambao wao hata kumjulia mwenzake hali hawezi...kusongesha mahusiano mbele hawezi..yani we unakua na kazi ya kumpeleka upande huu na ule bila kujua kama kweli ndo kilichopo moyoni mwake.Kama unamlazimisha vile au anafanya tu kukuridhisha uendelee kuwepo kwa muda ule ambao anaweza kutumia uwepo wako.Ubaya wa watu kama hawa ni kwamba hata siku akiamka akakwambia sikuwahi kukupenda huwezi kumbishia kwasababu hakuwahi kukwambia wala kuonyesha kwa matendo!!

5.Ubinafsi - mtu wa mimi..mimi ..mimi.Kila kitu ni vile anavyotaka yeye au hamna kitu.Wakati mahusiano yanatakiwa yawe makubaliano na michango ya pande zote mbili.

6.Ulalamikaji/kutokua na shukrani - hata ufanye zuri gani huwezi pata asante na mbaya zaidi utaambulia malalamiko.

7.Kutokujiamini kulikopitiliza - maana mara nyingi hii hua inazaa tuhuma.Anakua hana imani kwamba unampenda kweli au ukienda sokoni unaenda kununua nyanya tu na kurudi.Tuhuma zikizidi zinaua hisia zilizokuwepo.
N.k....

Wewe je....?!

haya yote ukiyajumlisha ni kuwa hakuna upendo moyoni mwake..........kwa hiyo hakuna malalamiko ila kukubaliaa na hali iliyopo au kufungasha virago vyako..................because you are worthy more than he is willing to give to you..............................kwa hiyo nionapo hakuna reciprocating love or there is unrequited love..............I know I should be angry to no no one but accepting the situation as it comes..................
 
Deka Laaziz deka.........furahia masha katika mwanga bora mamii wala hugombwi hahah.............Kloro shem wangu hongera!

LOLZZZ...Kloro huyu ntamweza basi..akisikia tu mtu anaangusha kicheko cha uswahilini ndo basi tena nimeshampoteza!!
 
haya yote ukiyajumlisha ni kuwa hakuna upendo moyoni mwake..........kwa hiyo hakuna malalamiko ila kukubaliaa na hali iliyopo au kufungasha virago vyako..................because you are tworthy more than he is willing to give to you..............................kwa hiyo nionapo hakuna reciprocating love or there is unrequited love..............I know I should be angry to no no one but accepting the situation as it comes..................
AHSANTE!!
Namiss kibutton cha THANKS!!!
 
Deka Laaziz deka.........furahia masha katika mwanga bora mamii wala hugombwi hahah.............Kloro shem wangu hongera!

senks shem! Naskuru sana kumpata Lizzy kwasababu yeye yeye ni mchumba halaf yeye mwenyewe ni kungwi, wazungu wanaita 2 in 1 au buy one get one free.

acha nikashoneshe suti a harusi.
 
senks shem! Naskuru sana kumpata Lizzy kwasababu yeye yeye ni mchumba halaf yeye mwenyewe ni kungwi, wazungu wanaita 2 in 1 au buy one get one free.

acha nikashoneshe suti a harusi.

Dah kweli ulifanya survey kwanza mbona umekula bingo shem wangu!!............... nikikorofisha huko nkimtuc mtu Mwanaume gani ......ah sina shaka mbio kwenu najua kungwi atanfunda nsirudie tena au nituc matuc ya mapenzi yae ya .......Mwone vile, mi nakupenda uko........kwa sauti laini na deko la haja!
 
Dah kweli ulifanya survey kwanza mbona umekula bingo shem wangu!!............... nikikorofisha huko nkimtuc mtu Mwanaume gani ......ah sina shaka mbio kwenu najua kungwi atanfunda nsirudie tena au nituc matuc ya mapenzi yae ya .......Mwone vile, mi nakupenda uko........kwa sauti laini na deko la haja!
Hahahah..
Muone...una mimacho mizuri ndo maana nakupenda!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
mbu swalama?...

swaumu aje arif?.....

nimekukumbuka sana.........
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
rizwaaniiii seeeemaaaaaaa....seeeeemaaaaa usiogopeeee seeeemaaaaaa

sisi wana mmu hatuogopiiii wasaniiii seemaaaaaaa.....

Rizwani mzima lakin?.....

nimekukosa sana....
msamilie klorokwin
 
Yaani we acha tu Mbu mie bwana huwa nina matuc yangu ambayo nayatoaga kwa uchungu sana sasa inategemea na mhucka mwenyewe anavyolipokea (akiwa katikati ya hacra-LOL sijui ndo namtetea?!) mf. We mwanaume gani lakini usiyejali hisia za mpenzi wako?? hapo anawezaamua asisikilize mwisho wa sentensi akachagua kusikia tu we mwanaume gani..............

...khaa? sasa hilo nalo tusi jamani? au unavyolitamka ndio linageuka tusi?
Lol, umenikumbusha wale wanaoomba kutukaniwa watu wao wakati wa 'Cough!'...
mnh,! ...nimefunga nisije haribu swaumu yangu.

Mpenzi ukilema unakuja pale unaporuhusu kua punching bag...day in...day out!!

Hahaahaha....we sema ni visa tu!Ingekua kweli unajua sana cha kufanya...unanunua pair alafu huikati!!!

...mwambie huyo, anajitoa fahamu ilhali thamani yake aijua...lol!


hahahaha asiwe na hofu, mimi ni mzoefu sana kwenye hizi kesi. Hivi sasa nipo kwenye kampeni ya kumrejesha Lizzy kwa ex wake, na soon nitafanikiwa.

...khaa....? 'mwamba ngoma weee...!' ....shurti gani hizo aje na khanga?

senks shem! Naskuru sana kumpata Lizzy kwasababu yeye yeye ni mchumba halaf yeye mwenyewe ni kungwi, wazungu wanaita 2 in 1 au buy one get one free.

acha nikashoneshe suti a harusi.

Spot on buddy, ....wale wazee wa sredi za kuogopa wanawake sijui wapo wapi leo!
 
mbu swalama?...

swaumu aje arif?.....

nimekukumbuka sana.........

Salaaale, e bana za masiku tele? nini kilikusibu bana, kimyaaaaaaaa!
Huku shwari bana, wimbo ule ule...mafuta tabu, umeme tabu...
Karibu jamvini!!!
 
rizwaaniiii seeeemaaaaaaa....seeeeemaaaaa usiogopeeee seeeemaaaaaa

sisi wana mmu hatuogopiiii wasaniiii seemaaaaaaa.....

Rizwani mzima lakin?.....

nimekukosa sana....
msamilie klorokwin

Kaazi kweli kweli!!
 
Lol Mbu ndo kuniumbua eh.............najitoa ufahamu? hahahha haya bwana mie mapenzi nadhani bado nna ulimbukeni hivi hahahahahahahaahah
Mbona ataekaimu atapata shida maana anakutana na mwanafunzi aliyekomaa kwa mafundisho toka JF.
 
rizwaaniiii seeeemaaaaaaa....seeeeemaaaaa usiogopeeee seeeemaaaaaa

sisi wana mmu hatuogopiiii wasaniiii seemaaaaaaa.....

Rizwani mzima lakin?.....

nimekukosa sana....
msamilie klorokwin


hehehehe dah! hii mutu kumbe iko hai?

na we pinda , semaaa usiogope semaaa

Mkuu umebakisha nyundo ngapi huko segerea? rudi kundini bana
 
Dah kweli ulifanya survey kwanza mbona umekula bingo shem wangu!!............... nikikorofisha huko nkimtuc mtu Mwanaume gani ......ah sina shaka mbio kwenu najua kungwi atanfunda nsirudie tena au nituc matuc ya mapenzi yae ya .......Mwone vile, mi nakupenda uko........kwa sauti laini na deko la haja!

hahahaah dah! MJ1 bana
 
Ulipoweka hiyo Kanga tu akili zote zimenipotea! hivi tunajadili nini vile? halaf sjui swaumu haijatenguka?
Khaaaa! haya ndio nilokuwa namueleza gaga!

ni khanga au alievaa khanga?lol
swaumu ya leo,we acha tu lol
 
emjeiwani upo mamaangu?
habari ako binafsi baaaanaaaaa!

nakumisi sana mamaaaaa la kulivua pendo....that was the thread of the threads...hehehehe!mbu na klorokwin wataunga mkono hoja pasi na kuomba miongozo!....

nisalimie mamaaa la nyamayao mwambia yeye mfalme ya amani anamkumbuka sana manake alinambia mpo wote doha!.....

nakukumbuka sana emjeiwan!

pamoja sana
 
ni khanga au alievaa khanga?lol
swaumu ya leo,we acha tu lol

Tunatumia hekima mkuu! tungesema alievaa kanga Mbu angeanzisha valangati kuliko la London. acha tujifanye tumeishoboke kanga tu.

Saumu ya leo kweli ina utata aisee, mara Lizzy na MJ1 wanaleta vineno ya uchokozi halaf mara Mbu anaweka kanga na miguu rangi ya vanish. Dah!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
emjeiwani upo mamaangu?
habari ako binafsi baaaanaaaaa!

nakumisi sana mamaaaaa la kulivua pendo....that was the thread of the threads...hehehehe!mbu na klorokwin wataunga mkono hoja pasi na kuomba miongozo!....

nisalimie mamaaa la nyamayao mwambia yeye mfalme ya amani anamkumbuka sana manake alinambia mpo wote doha!.....

nakukumbuka sana emjeiwan!

pamoja sana



hehehe shuko sugi in da hauzi!
Mfalme wa amani bana!
 
Back
Top Bottom