Ni Kitu ghani ulishawahi kuona kwenye nyumba/chumba cha mtu ukashindwa kabisa kuelewa kilifikaje fikaje pale?

Ni Kitu ghani ulishawahi kuona kwenye nyumba/chumba cha mtu ukashindwa kabisa kuelewa kilifikaje fikaje pale?

mike2k

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2016
Posts
1,571
Reaction score
3,448
Kwenye harakati za maisha unaweza kwenda kwa mtu,mshikaji au ndugu yako ukakutana na vitu ukajiuliza vimefikaje pale ukakosa majibu.

Mimi nna visa kadhaa ambavyo nilivikuta kwa washikaji zangu kwenye magheto yao huwa najiuliza sana nakosa majibu hadi leo..nabaki kucheka tu kila nikikumbuka.

1: Kitanda cha kujenga Na tofali alafu nyumba ni yakupanga nilipo uliza umekikuta akajibu hapana nili jenga nikauliza ulijenga vp akajibu nilikua nakuja Na tofali moja moja kwenye begi ili mwenye nyumba asijue ujenzi unao endelea nikauliza kwahio hapa akitaka uhame? Akajibu ndio hio siku atashangaa nikisha hama

2: Mimi nilienda ghetho kwa mshikaji wangu nikamkuta jamaa analalia kitanda cha hospital sijui kilifikaje pale ghetho.

3: Nilienda kwa MWALIMU wangu wa primary, nikakuta MILANGO imeandikwa STD 1,STD 2 mpka la SABA 😁😁 nkajisemea tuu kimoyo kimoyo HUU NDO WIZI sasa.

4: Nilienda kwa jamaa angu ukonga nikakuta kitandani ametandika shuka za MSD. Kila nikijaribu kumuuliza anaishia kucheka tu😆😆😆😆.

Je, wewe mkuu ushawahi kukutana na nini huko maghetho au nyumbani?
1680579119108.jpg
 
Wewe jamaa muongo,yaani mtu ajenge Kitanda cha matofali kwenye chumba cha kupanga kweli daah[emoji1787][emoji1787]
Hiyo ni kweli.Nimewahi kulala nyumba moja ya wageni kitanda kikiwa modeli hiyo.Nililala kama nipo kibarazani huku nacheka usiku karibia wote.Hapo kwenye nyumba ya kupanga kunahitaji maombi zaidi.😂😂
 
1. Nilienda kwa jamaa nikakuta ana poti la kunyea na hana mtoto nikawaza sana

2. Jamaa walikuw wanaweka nguo kwenye fridge, beseni na linakaa chini ya kitanda, viatu wanaweka chini ya kitanda. Hata kuna nguo zinakaa chini ya kitanda

3. Chupi za mkewe jirani yangu zinakaa nyuma ya sofa 😀

4. Haha moja kubwa hapo juzi nilienda kwa mshikaj hana sofa wala viti. Nilikaribishwa kwenye viti vya magari na huwa unakaa kama uko kwenye mkeka🤣
 
Kwenye harakati za maisha unaweza kwenda kwa mtu,mshikaji au ndugu yako ukakutana na vitu ukajiuliza vimefikaje pale ukakosa majibu.
Mimi nna visa kadhaa ambavyo nilivikuta kwa washikaji zangu kwenye magheto yao huwa najiuliza sana nakosa majibu hadi leo..nabaki kucheka tu kila nikikumbuka.
1: Kitanda cha kujenga Na tofali alafu nyumba ni yakupanga nilipo uliza umekikuta akajibu hapana nili jenga nikauliza ulijenga vp akajibu nilikua nakuja Na tofali moja moja kwenye begi ili mwenye nyumba asijue ujenzi unao endelea nikauliza kwahio hapa akitaka uhame ? Akajibu ndio hio siku atashangaa nikisha hama

2: Mimi nilienda ghetho kwa mshikaji wangu nikamkuta jamaa analalia kitanda cha hospital sijui kilifikaje pale ghetho.

3: Nilienda kwa MWALIMU wangu wa primary, nikakuta MILANGO imeandikwa STD 1,STD 2 mpka la SABA 😁😁 nkajisemea tuu kimoyo kimoyo HUU NDO WIZI sasa.

4: Nilienda kwa jamaa angu ukonga nikakuta kitandani ametandika shuka za MSD.
Kila nikijaribu kumuuliza anaishia kucheka tu😆😆😆😆.

Je wewe mkuu ushawahi kukutana na nini huko maghetho au nyumbani
Watu wanaiba mashuka ya hospitali😆
 
Back
Top Bottom