Ni Kitu ghani ulishawahi kuona kwenye nyumba/chumba cha mtu ukashindwa kabisa kuelewa kilifikaje fikaje pale?

Ni Kitu ghani ulishawahi kuona kwenye nyumba/chumba cha mtu ukashindwa kabisa kuelewa kilifikaje fikaje pale?

Nilimtembelea mshikaji mmoja kuna kimvua mvua nikakuta yeye na mke wake wamevaa life jackets sijui walizitoa wapi na sio wafanyakazi wa ferry wala meli
 
Ghetto kijijini nilipoenda kusalimia nikapewa nilale na huyo bro anayelala hapo anaingia kama sasa sita usiku .Bhana nimeenda kulala kama saa nne kasoro aisee nashangaa panaletwa Mbuzi mule ndani tulale nao wapo kama watano hivi na nilikuwa nipo alone jamaa bado hajaja mpaka saa sita.

Hao mbuzi hawalali wanatafuna usiku mzima na unasikia kabisa "kwachu kwachu kwachu " na mule ndani hamna majani sijui wanayatoa wapi?
Hiyo ni kawaida sana kwenye jamii za wafugaji.
 
Ghetto kijijini nilipoenda kusalimia nikapewa nilale na huyo bro anayelala hapo anaingia kama sasa sita usiku .Bhana nimeenda kulala kama saa nne kasoro aisee nashangaa panaletwa Mbuzi mule ndani tulale nao wapo kama watano hivi na nilikuwa nipo alone jamaa bado hajaja mpaka saa sita.

Hao mbuzi hawalali wanatafuna usiku mzima na unasikia kabisa "kwachu kwachu kwachu " na mule ndani hamna majani sijui wanayatoa wapi?
Kaahhh
 
Back
Top Bottom