Chanzo chako cha kujua kuna kitu kinachoitwa roho ni nini?au mkuu mfano mzuri pia iangalie mimea nayo ina uhai sababu inajongea na kuzaliana inavuta hewa lakini pamoja na kwamba ina uhai mimea haina roho
Kumbe ni dhana. Mimi nilifikiri kuna kitu kinaitwa roho kweliroho ni kitu ambacho hatukifahamu tuna dhana tu kwamba kuna roho ila hakuna anaeijua wala aliewahi kuiona roho na uhai ni hali ya kuwa na uwezo wa kuishi kuendelea kuvuta pumzi za Mungu kwetu sisi binadamu na mimea na kuna vitu vingine vimeumbwa vina uhai ila havina roho mfano hii dunia, sababu tunaeza sema ina uhai sababu ipo na siku ikaja ika collapse tutasema dunia imeisha(imekufa)
tuma nambaKama unanikubali nitumie vocha nijiunge na Mb
Mkuu upon vzr kwa kuomba na mamba hahahhahtuma namba
sasa ntatumaje vocha mazee na namba sina.Mkuu upon vzr kwa kuomba na mamba hahahhah
Hahahahah kweli mkuu Ila huku watu wengi inabd aku PMsasa ntatumaje vocha mazee na namba sina.
safi sana heri ya mwaka mpyaHahahahah kweli mkuu Ila huku watu wengi inabd aku PM
Hahahahahaha ckulaumu tatzo co lako tatzo n la Constantine
Kwani Constatine alifanya nini mbona post yako haiendani na thread?Hahahahahaha ckulaumu tatzo co lako tatzo n la Constantine
Mauti sio supu wala mchuzi, wa kuonja. Kuonja sioKila kiumbe kitaocha umauti.... Nafiki hata yesu atarudi ili aje aonje umauti. Ahsante
Suratul Aa-imran IMEELEZEA KWA UZURI KISA cha nabii issa (yesu)Na kwa mafundisho ya qur an yesu hakufa
Mkuu Kinakufa kilicho na uhai...sawa na kusema wangapi wamepata mimba mwaka huu. ..point ya kwanza kujua lazima hao wawe ni wanawake. ..swali linauliza vilivyo na uhaiJibu zuri
[emoji1]Kingunge .............