Ni kiumbe gani hapa duniani huishi milele bila kufa?

Ni kiumbe gani hapa duniani huishi milele bila kufa?

images
Z
huyu huwa hafi atadunda tu mpaka siku ya kiama.
kama yule jamaa anayetangatanga ulimwenguni kwa kujificha kila akijaribu kujiuwa inashindikana kwa sasa ana umri wa miaka 2014 na miezi 9/
alimdhihaki nabii fulani akaambiwa hata kufa mpaka siku ya hukumu.
mwingine ni farao yeye mwili wake hautaharibika mpaka siku ya hukumu,mwili wake upo tangu enzi za musa.

Mh! Jamaa gani huyo anae tanga tanga duniani mpaka leo!? Aje nimtie panga la kichwa nione kama hato kufa
 
Kwa mujibu wa Quran;
"Qullu nafsy dhaa ikatul mau't"
Tafsiri isiyo rasmi: Kila chenye uhai (nafsi) lazima kionje umauti..

Cc: FaizaFoxy
Kwa Viumbe hai umeweza na Visivyo ni uhai je? lete Aya ya quran inyozungumzia viumbe visivyo na uhai!
 
According to your link. I quote the statement A single planula gives rise to a polyp colony.
This implies if the planula succumbs to predators,that will be the end of the jellyfish,meaning it will be dead.so in the long run the population shall consist of very few planula and mostly clones,which in effect can be termed spare parts of the original planula.i.e. planula will keep on declining with time till only the a polyp clone colonies will remain.in conclusion every living thing dies eventually.i stand to be corrected.
.
 
Hakuna kilichoumbwa kisicho kufa hata Jua na Dunia vina mwisho
 
Wakuu,

Nina kahoja hapa, ni hivi kuna tetesi kuwa kuna kiumbe hapa duniani ambacho kinaishi milele pasipo kufa.

Je, ni kiumbe gani hicho?

Mnaokijua tuambieni
Kuna viumbe vingi tu ambavyo havitakufa :
1. Roho
2. Moto
3. Pepo.
 
Unataka kujua kiumbe ambacho hakifi au ambacho hakizeeki?.Mim najua kwenye viumbe kuna vinavyotembea na visivyotembea,vinavyozaana na visivyozaana.Hivi vinavyomove vyote vinakufa,kufa kwa maana yakutoka uhai ila pia viko ambavyo havizeeki.Ambavyo havimove pia viko ambavyo vinaweza kuisha visionekane tena kwenye uso wa nchi ila vingi vyao havizeeki.Ila kama ni kuhusu viumbe hai hivi vyote vinatoka uhai nakufa kabisa.Chochote chenye kuishi kinakufa ila viko ambavyo havifi kwa sababu ya uzee bali sababu nyingine mfano,amoeba,nyoka na species flan ya jellyfish na wengine.
 
Ukitafsiri kiumbe kwa maana ya kisayansi swali hili litakuwa gumu sana kwako.Nimeona maoni mengi ya jamaa wanasema kiumbe ambacho hakijazaliwa hakifi,huu ni ufikiriaji wa kitoto,wanganpi hawajazaliwa na wamekufa na watakufa,mathalani Adamu na Hawa hawakuzaliwa na walikufa bali ni viumbe hai,milima ni viumbe,maji kadhalika ni viumbe,wenye ufahamu mdogo juu ya viumbe hai basi kwao wao kiumbe hai hakiwi hai mpaka kiwe na macho,mdomo wa kuongea wanao fikiria hivi basi wana ufahamu mdogo sana juu ya viumbe hai.Lipo jiwe lililo lia na mlima ulioongea kwa hakika.

Kwa ufupi kila nafsi itaonja umaiti mpaka malaika mtoa roho naye atakufa.
 
Wakuu,

Nina kahoja hapa, ni hivi kuna tetesi kuwa kuna kiumbe hapa duniani ambacho kinaishi milele pasipo kufa.

Je, ni kiumbe gani hicho?

Mnaokijua tuambieni
samaki aina ya Jelly fish
 
Kwa Viumbe hai umeweza na Visivyo ni uhai je? lete Aya ya quran inyozungumzia viumbe visivyo na uhai!
Hakuna kiumbe kisicho hai mzee.Kila kinacho itwa kiumbe ujue kina uhai mpaka pale tu kitakapo kufa.Tatizo mnaleta tafsiri finyu za kisayansi.
 
Back
Top Bottom