Mohamedy cadinaly
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,449
- 2,245
Kama roho n mm nkifa ntawezaje kuendelea kuishi wakat ntakuwa nimekufaRoho ni wewe (inner you)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama roho n mm nkifa ntawezaje kuendelea kuishi wakat ntakuwa nimekufaRoho ni wewe (inner you)
Kinachokufa ni mwili.... hiyo roho ambayo ni wewe itaenda kwenye another dimension ....Kama roho n mm nkifa ntawezaje kuendelea kuishi wakat ntakuwa nimekufa
Unajua nn mkuu Hapa ndo mwisho Wa cku ndo kunaleta uthibitisho mungu yupo japo wengine hawaamin. Unajua n kwa nn Mkuu watu wrote waliopo kwenye hii dunia wanabshana xana kuhusu mambo ya mungu na kubishana kama mungu yupo na wengine wanaamn hakuna mungu wanatofaut katka mambo meng ya kiitikad zao za din (wakrsto, waislam,wayahud wanao amn ktk satanism na din nyingenezo) ila wote wanaamn kuna maisha baada ya kifo na wote wanaamn wataish katka roho na hata sayansi imeshindwa kuprove roho n nn.Kinachokufa ni mwili.... hiyo roho ambayo ni wewe itaenda kwenye another dimension ....
Hahaha....Jumapili nitakubeba twende Mlima wa moto mkuu.....hii mada ishanichanganya
Hv nn maana ya mtakatifu na kp kigezo cha kuwa mtakatifu? Na hli n moja ya maneno ambayo cyaelewag kabisaNt
Ntafute tukapate upako....mana hii mada inaitaji vichwa vitatu....mimi,wewe,mchungaji na utatu mtakatifu.....
Ni kweli mkuuUnajua nn mkuu Hapa ndo mwisho Wa cku ndo kunaleta uthibitisho mungu yupo japo wengine hawaamin. Unajua n kwa nn Mkuu watu wrote waliopo kwenye hii dunia wanabshana xana kuhusu mambo ya mungu na kubishana kama mungu yupo na wengine wanaamn hakuna mungu wanatofaut katka mambo meng ya kiitikad zao za din (wakrsto, waislam,wayahud wanao amn ktk satanism na din nyingenezo) ila wote wanaamn kuna maisha baada ya kifo na wote wanaamn wataish katka roho na hata sayansi imeshindwa kuprove roho n nn.
Hapa ndo tunaporud nakusema mjuz anajua maana ya roho n nn n mungu peke yake hizi nyngne bla bla tu mama hakuna anayeweza kukusibitshia roho n nn
KisichokufaHuyo ni Immortal Jellyfish (Turritopsis Dorhnii). Mcheki Wikipedia kuelewa zaidi kwa nini wanamuita 'immortal'.
Kwa namna hiyo mi chichemi.. maana asije akatokea mwingine nami nikaachwa kama TANMOSema hakyamungu Ili niombe talaka kwa mume wangu TANMO
kumbuka hata jiwe linamong'onyoka vipavipande.Unaongelea viumbe gani?,kuna aina kuu mbili za viumbe (1)Viumbe hai sifa kuu ya viumbe hawa ni uwezo wa kufa na (2)viumbe visivyo hai,sifa kuu ya viumbe hawa ni kutokufa.kwiyo swali lako jibu lake la weza kuwa JIWE ambacho ni kiumbe ambacho hakikufi.
Hivi majini na mashetani yapo kweli au ni mambo ya kusadikika tu!?Majini na Mashetani
huyu huwa hafi atadunda tu mpaka siku ya kiama.![]()
kama yule jamaa anayetangatanga ulimwenguni kwa kujificha kila akijaribu kujiuwa inashindikana kwa sasa ana umri wa miaka 2014 na miezi 9/
alimdhihaki nabii fulani akaambiwa hata kufa mpaka siku ya hukumu.
mwingine ni farao yeye mwili wake hautaharibika mpaka siku ya hukumu,mwili wake upo tangu enzi za musa.
Miongon mwa majini ni mashetani na miongon mwa wanadamu ni mashetaniHivi majini na mashetani yapo kweli au ni mambo ya kusadikika tu!?
TofautishaUNASEMA HIVYO UKIWA NA MAANA UKIIKOSA ROHO HUWEZI KUWA NA UHAI?BASI MBONA HATA UKIKOSA MAJI NA CHAKULA HUWEZI KUWA HAI,ROHO NA UHAI NI VITU VIWILI TOFAUTI
roho ni kitu ambacho hatukifahamu tuna dhana tu kwamba kuna roho ila hakuna anaeijua wala aliewahi kuiona roho na uhai ni hali ya kuwa na uwezo wa kuishi kuendelea kuvuta pumzi za Mungu kwetu sisi binadamu na mimea na kuna vitu vingine vimeumbwa vina uhai ila havina roho mfano hii dunia, sababu tunaeza sema ina uhai sababu ipo na siku ikaja ika collapse tutasema dunia imeisha(imekufa)Tofautisha
Yesu alipaa...hakufa
Huyo ni Immortal Jellyfish (Turritopsis Dorhnii). Mcheki Wikipedia kuelewa zaidi kwa nini wanamuita 'immortal'.
au mkuu mfano mzuri pia iangalie mimea nayo ina uhai sababu inajongea na kuzaliana inavuta hewa lakini pamoja na kwamba ina uhai mimea haina rohoTofautisha
Kuwa hyo hl andko linalosema ishara ya yesu ni kama ya yona n uongo?? Tatzo wakrsto mnaabudu vtu mcvyo vjua na vng n uzushi ulioletwa na waroma. Unaijua asili ya pasaka ww?
Hahahahahaha ckulaumu tatzo co lako tatzo n la ConstantineNimesoma komyio na kipaimara....pasaka maana yake ni siku ya mikate hisiyochachwa.....na tunasherekea kufufuka kwa Yesu kristo wa nadharet....hayo mengine ya mashehe wa ubungo na jangwani baki nayo wewe mkuu.....khasante