mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,400
- 3,853
viumbe wengi hawafi nakutoweka. kinachotokea ni kama mti kupukutisha majani lakini mti uko palepalee. mfano binadamu anahesabiwa kiumbe mmojawapo. bindamu hatoweki bali mtu mmoj mmoja binadamu yuko palepale. simba yuko palepale n.k. kinachofanya kiumbe atoweke funiani ni kubadilika kwamazingira