Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukuchuku hicho kinanihii kina mapepoKyupi je nivae pia?
Au nije chukuchuku?
Asante.Chukuchuku hicho kinanihii kina mapepo
Wapi? Nipitie pale kwenye mwembe wa kuingia mochwari saa sita kasoro nikija kwako kila kitu kitadodaAsante.
Karibu kwangu....tuianzie safari hapa
jiwe...
Kudadeki....yaonekana wewe ni bingwa wa kuoda maji ya maiti.Wapi? Nipitie pale kwenye mwembe wa kuingia mochwari saa sita kasoro nikija kwako kila kitu kitadoda
Kama hicho kiumbe hakikuzaliwa basi hakifi lakini kiumbe chochote kinachozaliwa kikakua lazima kifeWakuu,
Nina kahoja hapa, ni hivi kuna tetesi kuwa kuna kiumbe hapa duniani ambacho kinaishi milele pasipo kufa.
Je, ni kiumbe gani hicho?
Mnaokijua tuambieni
Hahhaahaaaa usisemee hilo hapa noma kuna watu wapana Kama barabara BRTKudadeki....yaonekana wewe ni bingwa wa kuoda maji ya maiti.
Maana ule mwembe ndio ishara yao...mtu akikaa pale tu, hawaulizi wanajua umefata maji
Asante mjomba MpottoHahhaahaaaa usisemee hilo hapa noma kuna watu wapana Kama barabara BRT
Hahhaahaaaa kwani Mimi sivai viatu?Asante mjomba Mpotto
Kwahiyo viatu unavaa ila vile vingine huvaiHahhaahaaaa kwani Mimi sivai viatu?
HahhaahaaaaKwahiyo viatu unavaa ila vile vingine huvai
Madame B tafadhali naomba tukutane makaburi ya mwananyamala saa sita usiku kuna ishu, vaa kaniki tuu
Kyupi je nivae pia?
Au nije chukuchuku?
Chukuchuku hicho kinanihii kina mapepo
Asante.
Karibu kwangu....tuianzie safari hapa
Wapi? Nipitie pale kwenye mwembe wa kuingia mochwari saa sita kasoro nikija kwako kila kitu kitadoda
Kudadeki....yaonekana wewe ni bingwa wa kuoda maji ya maiti.
Maana ule mwembe ndio ishara yao...mtu akikaa pale tu, hawaulizi wanajua umefata maji
Hahhaahaaaa usisemee hilo hapa noma kuna watu wapana Kama barabara BRT
Asante mjomba Mpotto
Hahhaahaaaa kwani Mimi sivai viatu?
Kwahiyo viatu unavaa ila vile vingine huvai
Nilikuwa nawachora tu ghafla nikajikuta nimepoteza lengo nikajikuta naduwaa.Hahhaahaaaa
Hahah! Nyau ni kivumishi cha sifa mkuu..Nani Nyau?....tuanzie hapa kwanza