Ni kiumbe gani hapa duniani huishi milele bila kufa?

Ni kiumbe gani hapa duniani huishi milele bila kufa?

amoeba hafi, nakumbuka kwa namna anavozaliwa...ni kwamba celi inagawanyika kadhalika na mwili unagawanyika. hivyo kufanya kuwa ngumu kumtambua daughter and parent ni yupi, hivyo amoeba hafi kwa sababu ya umri, labda ajali
 
amoeba hafi, nakumbuka kwa namna anavozaliwa...ni kwamba celi inagawanyika kadhalika na mwili unagawanyika. Hivyo kufanya kuwa ngumu kumtambua daughter and parent ni yupi, hivyo amoeba hafi kwa sababu ya umri, labda ajali

kwq hiyo anakufa. Mleta mada anataka kiumbe kisichokufa. Labda afafanue alimaanisha nn aliposema hakifi
 
nadhani hii sio kweli kwa maana viumbe wote huzaliana kwa kugawanyika ila utaratibu wa kugawanyika uko tofauti.

wengine kiumbe anatoa sehemu na kuunganisha na sehemu ya kiumbe mwingine na kilichotokea kinakuwa kiumbe kipya na wazazi na mtoto wote wanaendelea kuishi.

lakini viumbe wanaogawanyika ni kuwa mzazi anapozaa anaganyika kutoa viumbe watoto sasa je huyu kiumbe original anaweza kuishi na kugawanyika mara ngapi? yawezekana ana ukomo wa maisha.

amoeba hafi, nakumbuka kwa namna anavozaliwa...ni kwamba celi inagawanyika kadhalika na mwili unagawanyika. hivyo kufanya kuwa ngumu kumtambua daughter and parent ni yupi, hivyo amoeba hafi kwa sababu ya umri, labda ajali
 
Ni"ROHO"tu pekee ndicho kiumbe kinachoishi au kitakacho ishi milele hapa dunia ,kama mlikuwa hamjui ,CHUKUA HIYO.
 
Kutokufa kwa namna gani, kwa maisha ya kawaida yaani life span au hata kikipigwa, ajali au sumu hakitakufa? Ipi kati ya hizo
 
Kama alivyosema True soul ni Roho peke ndio isiyokufa hata kama itaugua au kupata ajali haitakufa milele.
 
Last edited by a moderator:
wakuu,

nina kahoja hapa, ni hivi kuna tetesi kuwa kuna kiumbe hapa duniani ambacho kinaishi milele pasipo kufa.

Je, ni kiumbe gani hicho?

Mnaokijua tuambieni
bacteria
 
Ni"ROHO"tu pekee ndicho kiumbe kinachoishi au kitakacho ishi milele hapa dunia ,kama mlikuwa hamjui ,CHUKUA HIYO.

Kama alivyosema True soul ni Roho peke ndio isiyokufa hata kama itaugua au kupata ajali haitakufa milele.

Hakuna kiumbe kinachoishi milele kwa maana ya mwili uharibikao bali roho ya kiumbe chochote kile ndio huishi milele kwenye realm of eternity- reincarnation na rebirth
 
Last edited by a moderator:
Wakuu,

Nina kahoja hapa, ni hivi kuna tetesi kuwa kuna kiumbe hapa duniani ambacho kinaishi milele pasipo kufa.

Je, ni kiumbe gani hicho?

Mnaokijua tuambieni

Kuna viumbe wa jamii ya nematode, wanaishi milele. Hii ni kwa maana ya kwamba cell zao huwanyika kila wakati kuwa mpya na kujigawa kuwa viumbe wapya wadogo. Zipo research zinafanyika kuona kama maisha yao yanaweza ambukizwa kwa binadamu ili nasi tuishi hivyo.

Faida kubwa ya kujua maisha yao ni kuweza kupata viungo tunavyovipoteza kwa sababu mbalimbali. Kwa mfano kidole, mguu, mkono, penis, nk. nematodes wanao uwezo wa kuvirudishia kama ilivyo kwa mkia wa lizard.
 
Back
Top Bottom