mwibamwiba
Senior Member
- May 22, 2015
- 150
- 38
nami naamini hivyo ndio maana nimeandka ktk maelezo yangu kuwa manesi polisi huwa wanaishi sema wanakuwa ktk roho hawaonekani na watu wapenzi huonana baada ya kifo na kuishi kama duniani sema mnakuwa kama ktk ndoto lakini kubwa Mungu huturudisha duniani kama tunadondoshwa hivi mfano wa mwanzo wa pich ya mr.bean kuna fumbo kubwa sana pale anapoonekana amedondoka sema unazaliwa lakini ukifika umri wa miaka mitatu au minne unaweza hisi umebadilishwa kabiswa,kifupi weupe wanaweza kujibadili maumbo kama malaika chukua hiyooooHili ndio Jibu sahihi