Ni kiumbe gani hapa duniani huishi milele bila kufa?

Ni kiumbe gani hapa duniani huishi milele bila kufa?

Aliyepaa ni Nabii Elisha (ambaye kimsingi ndiye nabii aliyefanya makubwa pengine kuzidi Yesu)..
Yesu yeye alikufa na kwenda kuzimu kuchukua ufunguo wa uzima wa milele kwa muda wa siku tatu...
Soma neno, elewa neno, tenda neno!

Halafu haya sio mambo yako madam, basi tu unajilazimisha.. teh!
Mie mambo yangu JLW na akina Ngalikihinja au sio....huku tuwaachie watambikaji akina mshana jr na MziziMkavu eeeee
 
Nasubiri jibu la huyo kiumbe mwenye miaka 2014 na miezi 9,
Nashangaa msemaji kapotea mazimaaaaaaa,
Akijibu plz anybody ani Quote or Tag.
 
Back
Top Bottom