Unaongelea viumbe gani?,kuna aina kuu mbili za viumbe (1)Viumbe hai sifa kuu ya viumbe hawa ni uwezo wa kufa na (2)viumbe visivyo hai,sifa kuu ya viumbe hawa ni kutokufa.kwiyo swali lako jibu lake la weza kuwa JIWE ambacho ni kiumbe ambacho hakikufi.
What is Organism?Hakuna kiumbe kisicho hai mzee.Kila kinacho itwa kiumbe ujue kina uhai mpaka pale tu kitakapo kufa.Tatizo mnaleta tafsiri finyu za kisayansi.
What is Organism?Hakuna kiumbe kisicho hai mzee.Kila kinacho itwa kiumbe ujue kina uhai mpaka pale tu kitakapo kufa.Tatizo mnaleta tafsiri finyu za kisayansi.
What is Organism?Hakuna kiumbe kisicho hai mzee.Kila kinacho itwa kiumbe ujue kina uhai mpaka pale tu kitakapo kufa.Tatizo mnaleta tafsiri finyu za kisayansi.
Hakuna kiumbe kisicho hai mzee.Kila kinacho itwa kiumbe ujue kina uhai mpaka pale tu kitakapo kufa.Tatizo mnaleta tafsiri finyu za kisayansi.
Sijui kuhusu Organisms mzee wala aina zake,mimi najua ukweli na wapi pakuupata.Sayansi kwangu mimi hainifidishi chochote.What is Organism?
What are the two type of Organism?
Acha kujifanya unafahamu sana Quran! Quran yenyewe ilikuja na Jahazi!
What is Organism?
What are the two type of Organism?
Acha kujifanya unafahamu sana Quran! Quran yenyewe ilikuja na Jahazi!
Tatizo njia wanazotumia wanasayansi kutafuta ukweli hazina uwezo huo.Ndio sawa sawa na kuniletea habari za wanafalsafa 200 au zaidi,habari yao siwezi kuiamini sababu imepatikana katika misingi dhaifu mno.Ni kweli kabisa Biology ya form one hii. Kuna living na non-living things. Halafu organisms are living things. Na hapo ndio maana ya bio inapoingia na kuwa biology au 'elimu ya viumbe'.
Tatizo njia wanazotumia wanasayansi kutafuta ukweli hazina uwezo huo.Ndio sawa sawa na kuniletea habari za wanafalsafa 200 au zaidi,habari yao siwezi kuiamini sababu imepatikana katika misingi dhaifu mno.
Swali zuri sana.Kwangu mimi misingi imara ni Qur'an na Maneno ya mtume Muhammad amani ya Allah iwe juu yake.Yasiyokuwa hayo yapo yenye kukubaliwa na yapo yenye kukataliwa,na lazima tuyapimwe katika mizani hiyo.Misingi ipi ni imara?
Mtume huyu huyu aliyetuambia tuoe wake wanne lakin yeye akachukua 12Swali zuri sana.Kwangu mimi misingi imara ni Qur'an na Maneno ya mtume Muhammad amani ya Allah iwe juu yake.Yasiyokuwa hayo yapo yenye kukubaliwa na yapo yenye kukataliwa,na lazima tuyapimwe katika mizani hiyo.
Wakuu,
Nina kahoja hapa, ni hivi kuna tetesi kuwa kuna kiumbe hapa duniani ambacho kinaishi milele pasipo kufa.
Je, ni kiumbe gani hicho?
Mnaokijua tuambieni
sisi kwa mafundisho ya kiislamu tunaamini viumbe vyote vitakufa ili mradi vimeumbwa na M/Mungu iwe milima mawe na binadamu hakuna kitakachobak.i siku ya mwisho litapigwa parapanda ambalo sauti yake tu jinsi ilivyo kali kama kuna kiumbe yeyote atabakia kwa ukali wa sauti hiyo kitatoka uhai kwa mshutuko na baada ya hapo M/Mungu atamtuma israel atafute dunia nzima kama kuna yeyote aliebaki israel atatafuta asione kiumbe yeyote M/Mungu atamtuma zaidi ya mara moja atafute na asione chochote na mwisho atagundua hakuna aliebaki isipokuwa yeye israel na M/Mungu ndipo M/Mungu atamuuliza israel hukumbuki ile kauli yangu ''kila nafsi itaonja mauti'' na atamuamlisha israel ajitoe roho mwenyewe naye atajitoa roho huku akiumia kwa maumivu na baada ya hapo atabakia mwenyewe M/Mungu mmoja tu dunia siku yasemakana itakuwa flat hakuna milima hakuna chochote. na atajitapa kwani M/Mungu ndiye anayestahiki kujisifu na atasema MIMI NDIYE MFALME WAKO WAPI HAO WAFALME WA ULIMWENGU,kwa hiyo atakaebaki ni Mungu tu na amehahidi hivyo Mungu mweneyewe
Huko ndio pumba kabsaa..wanasayansi wakijibu maswali magumu yote anayo uliza mwanadamu hicho kitabu [emoji117] [emoji372] [emoji13]Swali zuri sana.Kwangu mimi misingi imara ni Qur'an na Maneno ya mtume Muhammad amani ya Allah iwe juu yake.Yasiyokuwa hayo yapo yenye kukubaliwa na yapo yenye kukataliwa,na lazima tuyapimwe katika mizani hiyo.
Tupo pamojaNi"ROHO"tu pekee ndicho kiumbe kinachoishi au kitakacho ishi milele hapa dunia ,kama mlikuwa hamjui ,CHUKUA HIYO.
Andika vizuri sentensi yako ueleweke mzee....Huko ndio pumba kabsaa..wanasayansi wakijibu maswali magumu yote anayo uliza mwanadamu hicho kitabu [emoji117] [emoji372] [emoji13]
Roho ni nn ni kiumbe au!!!Ni"ROHO"tu pekee ndicho kiumbe kinachoishi au kitakacho ishi milele hapa dunia ,kama mlikuwa hamjui ,CHUKUA HIYO.
nini unataka uelewe [emoji13] [emoji13]Andika vizuri sentensi yako ueleweke mzee....
Sentensi yako haieleweki...nini unataka uelewe [emoji13] [emoji13]