Ni kiumbe gani hapa duniani huishi milele bila kufa?

Ni kiumbe gani hapa duniani huishi milele bila kufa?

Unaongelea viumbe gani?,kuna aina kuu mbili za viumbe (1)Viumbe hai sifa kuu ya viumbe hawa ni uwezo wa kufa na (2)viumbe visivyo hai,sifa kuu ya viumbe hawa ni kutokufa.kwiyo swali lako jibu lake la weza kuwa JIWE ambacho ni kiumbe ambacho hakikufi.

Nafikiri ukishasema kiumbe maana yake ni 'living' kwa maana ya 'organism'. Lakini kwa mtazamo wako wewe ni living things na non-living things ambayo kwa kiswahili ni vitu vinavyoishi na visivyoishi.

Halafu kwenye namba 2 yako iweje useme sifa kuu ya kiumbe visivyo hai ni kutokufa wakati kufa ni mwisho wa uhai, sasa iweje hasiekuwa na uhai akahusishwa na suala la kufa?
 
Hakuna kiumbe kisicho hai mzee.Kila kinacho itwa kiumbe ujue kina uhai mpaka pale tu kitakapo kufa.Tatizo mnaleta tafsiri finyu za kisayansi.
What is Organism?
What are the two type of Organism?

Acha kujifanya unafahamu sana Quran! Quran yenyewe ilikuja na Jahazi!
 
Hakuna kiumbe kisicho hai mzee.Kila kinacho itwa kiumbe ujue kina uhai mpaka pale tu kitakapo kufa.Tatizo mnaleta tafsiri finyu za kisayansi.
What is Organism?
What are the two type of Organism?

Acha kujifanya unafahamu sana Quran! Quran yenyewe ilikuja na Jahazi!
 
Hakuna kiumbe kisicho hai mzee.Kila kinacho itwa kiumbe ujue kina uhai mpaka pale tu kitakapo kufa.Tatizo mnaleta tafsiri finyu za kisayansi.
What is Organism?
What are the two type of Organism?

Acha kujifanya unafahamu sana Quran! Quran yenyewe ilikuja na Jahazi!
 
Hakuna kiumbe kisicho hai mzee.Kila kinacho itwa kiumbe ujue kina uhai mpaka pale tu kitakapo kufa.Tatizo mnaleta tafsiri finyu za kisayansi.

Ni kweli kabisa Biology ya form one hii. Kuna living na non-living things. Halafu organisms are living things. Na hapo ndio maana ya bio inapoingia na kuwa biology au 'elimu ya viumbe'.
 
What is Organism?
What are the two type of Organism?

Acha kujifanya unafahamu sana Quran! Quran yenyewe ilikuja na Jahazi!
Sijui kuhusu Organisms mzee wala aina zake,mimi najua ukweli na wapi pakuupata.Sayansi kwangu mimi hainifidishi chochote.

TENGENEZA KITI CHAKO KWANZA NDIO UKITIE NAKSHI....

Sayansi haina uwezo wa kujibu swali hilo mzee wala mfano wa swali hilo.
 
Ni kweli kabisa Biology ya form one hii. Kuna living na non-living things. Halafu organisms are living things. Na hapo ndio maana ya bio inapoingia na kuwa biology au 'elimu ya viumbe'.
Tatizo njia wanazotumia wanasayansi kutafuta ukweli hazina uwezo huo.Ndio sawa sawa na kuniletea habari za wanafalsafa 200 au zaidi,habari yao siwezi kuiamini sababu imepatikana katika misingi dhaifu mno.
 
Tatizo njia wanazotumia wanasayansi kutafuta ukweli hazina uwezo huo.Ndio sawa sawa na kuniletea habari za wanafalsafa 200 au zaidi,habari yao siwezi kuiamini sababu imepatikana katika misingi dhaifu mno.

Misingi ipi ni imara?
 
Misingi ipi ni imara?
Swali zuri sana.Kwangu mimi misingi imara ni Qur'an na Maneno ya mtume Muhammad amani ya Allah iwe juu yake.Yasiyokuwa hayo yapo yenye kukubaliwa na yapo yenye kukataliwa,na lazima tuyapimwe katika mizani hiyo.
 
Swali zuri sana.Kwangu mimi misingi imara ni Qur'an na Maneno ya mtume Muhammad amani ya Allah iwe juu yake.Yasiyokuwa hayo yapo yenye kukubaliwa na yapo yenye kukataliwa,na lazima tuyapimwe katika mizani hiyo.
Mtume huyu huyu aliyetuambia tuoe wake wanne lakin yeye akachukua 12
 
sisi kwa mafundisho ya kiislamu tunaamini viumbe vyote vitakufa ili mradi vimeumbwa na M/Mungu iwe milima mawe na binadamu hakuna kitakachobak.i siku ya mwisho litapigwa parapanda ambalo sauti yake tu jinsi ilivyo kali kama kuna kiumbe yeyote atabakia kwa ukali wa sauti hiyo kitatoka uhai kwa mshutuko na baada ya hapo M/Mungu atamtuma israel atafute dunia nzima kama kuna yeyote aliebaki israel atatafuta asione kiumbe yeyote M/Mungu atamtuma zaidi ya mara moja atafute na asione chochote na mwisho atagundua hakuna aliebaki isipokuwa yeye israel na M/Mungu ndipo M/Mungu atamuuliza israel hukumbuki ile kauli yangu ''kila nafsi itaonja mauti'' na atamuamlisha israel ajitoe roho mwenyewe naye atajitoa roho huku akiumia kwa maumivu na baada ya hapo atabakia mwenyewe M/Mungu mmoja tu dunia siku yasemakana itakuwa flat hakuna milima hakuna chochote. na atajitapa kwani M/Mungu ndiye anayestahiki kujisifu na atasema MIMI NDIYE MFALME WAKO WAPI HAO WAFALME WA ULIMWENGU,kwa hiyo atakaebaki ni Mungu tu na amehahidi hivyo Mungu mweneyewe



Hivi kwanini hamuwezi kufikiria nje ya dini,tumia common sense yako sometimes ,Sababu story nyingine ni za kukaririshwa hazina dalili wala uthibitisho .je ni aya gani Katika


Quran inayosema binadam atakufa kwa maumivu pale roho inapotoka ?

Pili nipe dalili ndani ya hiyo Quran inayoelezea hiyo stori uliyoandika ,ikiwemo na HIYO story ya Israeli? Wapi umetoa hii ? Aya gani ?
 
Swali zuri sana.Kwangu mimi misingi imara ni Qur'an na Maneno ya mtume Muhammad amani ya Allah iwe juu yake.Yasiyokuwa hayo yapo yenye kukubaliwa na yapo yenye kukataliwa,na lazima tuyapimwe katika mizani hiyo.
Huko ndio pumba kabsaa..wanasayansi wakijibu maswali magumu yote anayo uliza mwanadamu hicho kitabu [emoji117] [emoji372] [emoji13]
 
Huko ndio pumba kabsaa..wanasayansi wakijibu maswali magumu yote anayo uliza mwanadamu hicho kitabu [emoji117] [emoji372] [emoji13]
Andika vizuri sentensi yako ueleweke mzee....
 
Back
Top Bottom