Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Tarantulakuna wale wakubwa hata mkononi ana jaa
Mjusi? Sasa ukikutana na mamba je?Nyoka na mjusi
Mi Piabuibui aiseeπ
Aisee.serious kabisa
Huu ni mtego.Kuku ,mpaka akipikwa naogopa kumla kama unabisha mkaange niretee tuone.
BINADAMUNimefanikiwa kua na urafiki na paka, mbwa, kuku, ngombe, mbuzi. Urafiki in a way kwamba akikuona anakufata anataka awe karibu yako.
ila
Binafsi nyoka ni kiumbe ninaemchukia kuliko wote, hata niende Zoo niambiwe huyu hana sumu,
Kwanza ila ngozi yake siipendi kabisa.
Mamba sijawah muona live najua itakuwa balaa mara mbili. Mjusi sijui namuonaje yaan ananichefua tuMjusi? Sasa ukikutana na mamba je?
Yani we mjanja sana, et "mkaange uniletee"Kuku ,mpaka akipikwa naogopa kumla kama unabisha mkaange niretee tuone.
Au wale wanakua kama wekundu hivi? Af nasikia wana sumu. Wanakaaga kwenye magome ya miti kama miembekuna wale wakubwa hata mkononi ana jaa
π€£π€£π€£buibui aiseeπ
Mkuu siafu πππ hao wadudu wanaweza kukuvu nguo mbele za watu
Nasikia wana sumu kali nyoka akasomeNaogopa sana kiumbe " mwanamke"
Nikupeleke bagamoyo snake park ukawaone mamba π€Mamba sijawah muona live najua itakuwa balaa mara mbili. Mjusi sijui namuonaje yaan ananichefua tu
Yani ni kiumbe wa ajabu, yanasumu na asali kwa wakati mmoja,Nasikia wana sumu kali nyoka akasome
πNasikia wana sumu kali nyoka akasome