Ni kiumbe gani hukipendi/ unakiogopa mpaka leo?

Ni kiumbe gani hukipendi/ unakiogopa mpaka leo?

Nimefanikiwa kua na urafiki na paka, mbwa, kuku, ngombe, mbuzi. Urafiki in a way kwamba akikuona anakufata anataka awe karibu yako.

ila
Binafsi nyoka ni kiumbe ninaemchukia kuliko wote, hata niende Zoo niambiwe huyu hana sumu,

Kwanza ila ngozi yake siipendi kabisa.
nyoka!!!!!!....mimi namwogopa kondoo na sintokaa nimfuge na nitaacha wosia wangu kwa watoto wangu wasije wakamfuga huyu MANDONGA!!!!,,,kule kijijini kwetu,huko maeneo ya KIBOSHO nilipokuwa nasoma darasa la tano,,,,kuna mzee mmoja jirani yetu alikuwa anakunywa sana pombe na kila akirudi alikuwa analala chini ya migomba ndo apumzike{alikuwa anafuga kondoo},,,sasa siku hiyo akaaa kwenye msingi wa nyumba,ghafla akawa anasinzia ,anarudi nyuma na kwenda mbele{kiwiliwili pamoja na kichwa kwani makalio yalikuwa yamekalia msingi na miguu ilikuwa chini},,msingi ulikuwa mfupi tu!!!,sasa alikuwa ana kondoo dume{kule kwetu kondoo dume anaitwa sua}.......kondoo kuona yule mzee anayumba akadhani anamtisha,kwa macho yangu kondoo alirudi nyuma kama hatua saba,alafu kwa kasi ya ajabu akakimbilia kwa yule babu,alimtandika kichwa kimoja tu,mzee kichwa kikapasuka na kufa hapohapo.........yaani ata kama mtoto mdogo anatambaa,kondoo anaweka
 
D
nyoka!!!!!!....mimi namwogopa kondoo na sintokaa nimfuge na nitaacha wosia wangu kwa watoto wangu wasije wakamfuga huyu MANDONGA!!!!,,,kule kijijini kwetu,huko maeneo ya KIBOSHO nilipokuwa nasoma darasa la tano,,,,kuna mzee mmoja jirani yetu alikuwa anakunywa sana pombe na kila akirudi alikuwa analala chini ya migomba ndo apumzike{alikuwa anafuga kondoo},,,sasa siku hiyo akaaa kwenye msingi wa nyumba,ghafla akawa anasinzia ,anarudi nyuma na kwenda mbele{kiwiliwili pamoja na kichwa kwani makalio yalikuwa yamekalia msingi na miguu ilikuwa chini},,msingi ulikuwa mfupi tu!!!,sasa alikuwa ana kondoo dume{kule kwetu kondoo dume anaitwa sua}.......kondoo kuona yule mzee anayumba akadhani anamtisha,kwa macho yangu kondoo alirudi nyuma kama hatua saba,alafu kwa kasi ya ajabu akakimbilia kwa yule babu,alimtandika kichwa kimoja tu,mzee kichwa kikapasuka na kufa hapohapo.........yaani ata kama mtoto mdogo anatambaa,kondoo anaweka
Duuu kuna clip kondoo anamvunja ng'ombe miguu.
Hivi lile bichwa lake ni gumu kiasi gani?
 
D

Duuu kuna clip kondoo anamvunja ng'ombe miguu.
Hivi lile bichwa lake ni gumu kiasi gani?
kondoo noma babu!!!,,,ubongo wake huwa unakuwa na funza,,siku ukienda machinjioni nunua kichwa chake alafu kakipasue uone!!
 
Nimefanikiwa kua na urafiki na paka, mbwa, kuku, ngombe, mbuzi. Urafiki in a way kwamba akikuona anakufata anataka awe karibu yako.

ila
Binafsi nyoka ni kiumbe ninaemchukia kuliko wote, hata niende Zoo niambiwe huyu hana sumu,

Kwanza ila ngozi yake siipendi kabisa.
kinyonga, nimezaliwa kijijini, huwa sitaki hata kumwangalia. cha pili ni nyoka, nikimwona lazima nimuue.
 
D

Duuu kuna clip kondoo anamvunja ng'ombe miguu.
Hivi lile bichwa lake ni gumu kiasi gani?
huwa wanatengeneza sugu tangu utotoni kwa kupigana wenyewe kwa wenyewe,kupiga vichwa mawe na miti,kupiga vichwa vichuguu,pia kondoo wadogo wanapigana vichwa na mbuzi wakubwa kwani mbuzi wanapiga vichwa kwa kuinua miguu ya mbele na kushusga kichwa chini kwa kasi,wakati anashusha kichwa,kondoo mtoto anamtokea kwa kasi na kumpiga kwa kasi,,wataendea ivo lakini siku kondoo mtoto akikomaa tu beberu anavunjwa miguu,,,akiwa amelel chini anasikilizia maumivu,kundoo anaanza kumpelekea moto mpaka anamuaa!!!....mbwa wenyewe hawa wanaotumika kuchunga wanyama,wanatumia ubabe kwa ng"ombe na mbuzi tu,,,,ila kwa kondoo anakutana na kichwa kama cha amis tambwe na kwa punda anakutana na mateke kama bruce lee
 
Tuongee ukweli mwanamke ni kiumbe mtatanishi sana, anapaswa kuhofiwa kuliko maelezo, wao wanawake wenyewe kwa wenyewe wanahofiana sembuse sisi!

Aisee namuogopa mwanamke.

Mpaka mseme.
 
Nimefanikiwa kua na urafiki na paka, mbwa, kuku, ngombe, mbuzi. Urafiki in a way kwamba akikuona anakufata anataka awe karibu yako.

ila
Binafsi nyoka ni kiumbe ninaemchukia kuliko wote, hata niende Zoo niambiwe huyu hana sumu,

Kwanza ila ngozi yake siipendi kabisa.
Nimewai date na wadada kadhaa Mimi binafsi simpendi PAKA a.k.a nyau
Nina allergies nao toka udogoni mwangu nipo Beach SLIPWAY na huyo mdada tumekaa zetu nyau akaja mbio akitokea huko upande wa bahari gizani akapita Dobo katikati ya miguu yangu.....

Nikashituka sana mpak yule mdada akajua kwakua tulisha ambianaga vitu vinavyo tuogopesha akawa anacheka sanaa....

Siku ingine niliwai kwenda kupata chair fire sehemu nikiwa na mdada mmoja na rafik yake tukiwa tunakula PAKA kubwa baya Lina Lia nyau mm najikaza likataka kunipokonya nyama mkononi nikashituka sana mpk wale wadada wakawa wanashangaa 😊😊😊

All in all PAKA aliwai kunipalua nikiwa mdogo datc mpaka Leo siwapendi😊😊😊
 
Nimefanikiwa kua na urafiki na paka, mbwa, kuku, ngombe, mbuzi. Urafiki in a way kwamba akikuona anakufata anataka awe karibu yako.

ila
Binafsi nyoka ni kiumbe ninaemchukia kuliko wote, hata niende Zoo niambiwe huyu hana sumu,

Kwanza ila ngozi yake siipendi kabisa.
Wanafiki,wabinafsi na wenye nia mbaya ni viumbe ambavyo sivipendi
 
Mwafrika hasa mtanzania.



Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
kuhusu binadamu mimi namwogopa mzungu,ametufanya watumwa,ametawala,ametuibia malia asili,anatuchonganisha sisis kwa sisi,ametuletea maukimwi,makorona,....masilaha ya maangamizi kama nyuklia,mabomu ya kibailojia,anatulazimisha tufirane wanaume kwa wanaume na wanawake wasagane,walimfunga mandela miaka 25,wanatuona manyani!!!!!!!!!!!!!wanataka tumwabudu shetani{freemason}......mwafrika ni mtakatifu,,,hana baya na m2!!!
 
kuhusu binadamu mimi namwogopa mzungu,ametufanya watumwa,ametawala,ametuibia malia asili,anatuchonganisha sisis kwa sisi,ametuletea maukimwi,makorona,....masilaha ya maangamizi kama nyuklia,mabomu ya kibailojia,anatulazimisha tufirane wanaume kwa wanaume na wanawake wasagane,walimfunga mandela miaka 25,wanatuona manyani!!!!!!!!!!!!!wanataka tumwabudu shetani{freemason}......mwafrika ni mtakatifu,,,hana baya na m2!!!
Sawa ni mtazamo wako pia.

Lakini kwa yote uliyo yaandika hapo yamefanyika na kufanikiwa kupitia Viongozi wa waafrika.

Mababu zetu walisalitiana na ku uzana wenyewe kwa wenyewe utumwani.

Ila wazungu waliungana pamoja through Berlin conference,wakaweka tofauti zao pembeni na wakafanikiwa kutu tawala.

Kwa hiyo mpaka hapa, Mwenye shida ni mwafrika wala si mzungu.

Waafrika wana laana.
 
Back
Top Bottom