Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siogopi nyoka hata kidogo. Tena akiingia ndani we niite tu na nitamtoa bila wasiwasi...na nilikuwa na bahati nilikaa na wazee wakanifundisha mbinu za kumtoa nyoka nje ya nyumba hata kama kuna giza[emoji1787] nyoka? Atakua nyoka wa plastic labda.
Upo vizuri. Nyoka nikimuona hata kwa mbali ni mbio muda huo huo sipatani nao kabisaSiogopi nyoka hata kidogo. Tena akiingia ndani we niite tu na nitamtoa bila wasiwasi...na nilikuwa na bahati nilikaa na wazee wakanifundisha mbinu za kumtoa nyoka nje ya nyumba hata kama kuna giza
Hana lo lote huyu. Alishawahi kunigonga asubuhi nakwenda shule boarding safari ya masaa zaidi ya 14 nikaenda tu poa japo maumivu nilikuwa nayasikilizia. Labda ukibahatisha jike ndo kidogo muziki wake unaeleweka lakini siyo kwa level ya kulia kisa eti maumivu...Mwamba huyu apa
Ila Kelsea unazungumzia nyoka gani?Upo vizuri. Nyoka nikimuona hata kwa mbali ni mbio muda huo huo sipatani nao kabisa
Sasa unamuua amefanya nini?serious nikiona buibui lazima nitafute kiatu nimuue ndo nakua na amani
Mbinu Gani hiyo ya kumtoa nyoka hata gizaniSiogopi nyoka hata kidogo. Tena akiingia ndani we niite tu na nitamtoa bila wasiwasi...na nilikuwa na bahati nilikaa na wazee wakanifundisha mbinu za kumtoa nyoka nje ya nyumba hata kama kuna giza
Sasa mwanamke ni kiumbe Cha kuogopa?😁😁Naogopa sana kiumbe " mwanamke"
Tufundishe hiyo mbinu kwa faida ya jamii!nilikuwa na bahati nilikaa na wazee wakanifundisha mbinu za kumtoa nyoka nje ya nyumba hata kama kuna giza
Nyoka wa kijaniNimefanikiwa kua na urafiki na paka, mbwa, kuku, ngombe, mbuzi. Urafiki in a way kwamba akikuona anakufata anataka awe karibu yako.
ila
Binafsi nyoka ni kiumbe ninaemchukia kuliko wote, hata niende Zoo niambiwe huyu hana sumu,
Kwanza ila ngozi yake siipendi kabisa.