harfiz allyy
Senior Member
- Sep 28, 2023
- 157
- 248
nyuki wakichokozwa kimbia Mzee wanakuuaNaskia nyuki... ni wewe tuu na ukorofi wako.. yaani ukiwa mtu cool hata hawana shida na wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyuki wakichokozwa kimbia Mzee wanakuuaNaskia nyuki... ni wewe tuu na ukorofi wako.. yaani ukiwa mtu cool hata hawana shida na wewe
🤓🤓🤓🤓🤓 panya!!!!Panya na chura
Hawa siyo wazuri hata kidogo ,waliwahi kutulaza nje mara nyingi mno.Mkuu siafu [emoji119][emoji119][emoji119] hao wadudu wanaweza kukuvu nguo mbele za watu
🤓🤓🤓🤓🤓🙌🙌🙌🙌Mwizi
Pole mno aisee, sio viumbe wazuri kabisa, wanaweza kukutia aibu usio tarajia kabisa.Nilisahau siafu. Nilishawahi toa gauni mbele za watu nikabaki na pichu hawa wadudu hawana maana [emoji23][emoji23][emoji23]
Unamuogopa . Ushawahi kumuona🤓🤓🤓
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]kinyonya aisee.nilienda kwabibi uwani kuna kiwanja kizuri kimestawi nyasi zakijani kibichi
nikajilaza zangu naburudika upepo mzuri kumbe kinyonga kaja kunikalia kwenye bega lakulia katulia
mdogowangu kanifata kuniita alivyomuona tu akaanza kupayuka kaka angalia begani kwako unanini
nikageuka kuangalia tuna onana ana kwaana Mimi nakinyonga katulia begani kwanguu
nikamkimbilia dogo anitoe dogo anakimbia muoga nae
nilipata tabusana
nilipiga mayowe hukunakimbia kuelekea bondeni kilanikikaza moyo nikimpangusa kwamkono hatoki kuchazake zimeshika kwenye shati mkia unanigusa shingoni aloo
nikaona kukimbia haitoshi nikaanza kuruka sarakasi hukunapiga mayowe watu nao wananifata kunisaidia
nikijaribu kuvua shati inagoma kutoka vivungo vyake ilimladi niteseke tuu nikaruka misarakasi nakujitupa tupa chini akaishiwa uzalendo akadondoka
Ile shati nilivuta vifungo nikaivua nakuitupa hukohuko shambani sikuichukua nilirudi nyumbani kitumbo wazi huku raia wananicheka[emoji1787][emoji1787]mdahuo nimenuna balaa.
Hadi leo nikiendo kijijini nakaambali na sehem zakijani kibichi mana vinyonga wanapenda sana sehemu hizo
nikimuona kinyonga nakosa amani kabisa namtupia mijiwe apotee alinitesa sana
Unaogopa page 🤓🤓🤓🤓🤝🤝Jamiiforum imekuwa aje sijui Yani uzi Kama huu unapata page zaidi ya nne aibu hii, moderator ebu pigeni bani hizi nyuzi za kiwaki
Serious bro.Duuh serious 🤓🙌
Nyoka akiingia ndani halafu umeme ukazimika wala sitoki nje ila limende likubwa linaruka huyoo nje na sirudi ng'o mpaka waliue 😁😁😁[emoji23][emoji23][emoji23] hadi wewe
hao watu watu walienjoy😋Nilisahau siafu. Nilishawahi toa gauni mbele za watu nikabaki na pichu hawa wadudu hawana maana [emoji23][emoji23][emoji23]
Ulipita jkt..?Serious bro.
Nilikua katoto sa wanainjoi nini na wewe [emoji81][emoji81]hao watu watu walienjoy[emoji39]
[emoji1787] nyoka? Atakua nyoka wa plastic labda.Nyoka akiingia ndani halafu umeme ukazimika wala sitoki nje ila limende likubwa linaruka huyoo nje na sirudi ng'o mpaka waliue [emoji16][emoji16][emoji16]