Krichers - luxembourgishReptiliers all of these krichers i am afraid of
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Krichers - luxembourgishReptiliers all of these krichers i am afraid of
Ndio, ni kiumbe mwenye sumu na asali kwa wakati mmoja, alafu vyote vinaua, ila asali yake tamu sanaSasa mwanamke ni kiumbe Cha kuogopa?😁😁
Ukiacha paka ambao wanatumiwa na wachawi, Bundi naye ananitisha sana maana wengi naona huwa wamefungwa hirizi.Nimefanikiwa kua na urafiki na paka, mbwa, kuku, ngombe, mbuzi. Urafiki in a way kwamba akikuona anakufata anataka awe karibu yako.
ila
Binafsi nyoka ni kiumbe ninaemchukia kuliko wote, hata niende Zoo niambiwe huyu hana sumu,
Kwanza ila ngozi yake siipendi kabisa.
Kuna mtu kinondoni nyuki wameweka kambi kwenye duka lake ameamua kuwaacha tu na ni wengi si mchezo. Hawasumbui mtu mpaka wasumbuliwe.Naskia nyuki... ni wewe tuu na ukorofi wako.. yaani ukiwa mtu cool hata hawana shida na wewe
Haoo itakua wa kutumwa si bure 🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓Kuna mtu kinondoni nyuki wameweka kambi kwenye duka lake ameamua kuwaacha tu na ni wengi si mchezo. Hawasumbui mtu mpaka wasumbuliwe.
Mnatutwishaga mizigo mizito ndio maana tunajifia mapema kwa kujikaza kiuongo[emoji16][emoji16]Nashangaa kuna wanaume wameandika kwamba wanaogopa wadudu au baadhi ya viumbe...
Unless wameandika hivyo tu kusogeza uzi...
Dadadeq🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓Mnatutwishaga mizigo mizito ndio maana tunajifia mapema kwa kujikaza kiuongo[emoji16][emoji16]
Tandu sio poa. Huku nakaa tunayaua kila uchwaoHana lo lote huyu. Alishawahi kunigonga asubuhi nakwenda shule boarding safari ya masaa zaidi ya 14 nikaenda tu poa japo maumivu nilikuwa nayasikilizia. Labda ukibahatisha jike ndo kidogo muziki wake unaeleweka lakini siyo kwa level ya kulia kisa eti maumivu...
Ungesema labda tandu kidogo muziki wake naukubali maana kama huna pumzi unaweza hata kuzirai aisee 😁
Chura binadamu au Chura mdudu?Panya na chura
Basi we lamba asali achana na habari ya sumuNdio, ni kiumbe mwenye sumu na asali kwa wakati mmoja, alafu vyote vinaua, ila asali yake tamu sana
hapo sasa, tatizo wogaSasa unamuua amefanya nini?
Mnatutwishaga mizigo mizito ndio maana tunajifia mapema kwa kujikaza kiuongo[emoji16][emoji16]
Bangi it's real
Zoophobia hii ni hali ya kawaida kwa baadhi ya watu mkuu ,bila kujalisha jinsia ya mtu , kuna wanaoogopa kinyonga ila nyoka wanamshika kabisa.Sasa mwanaume anaogopaje sijui mende, chura, kinyonga, panya na anakiri kabisa mbele za watu...
Wanaume tumebaki wachache sana, jando inabidi lirudishwe kuondoa hiki kizazi nyoronyoro...
Hata mimi, hamna kitu sikipendi na nakiogopa kama buibui.buibui aisee😂