Upole wtu ni mzuri na unapaswa uendelezwe Kwa kila mtu, lakini endapo tunataka tuondokane na kichefuchefu cha umasikini uliotopea, some time ni kuvunja upole wetu hasa linapokuja swala la masilahi ya nchi yetu Kwa ujumla, Ni Kwa namna gani serikali tunaweza kuiwajibisha inapotumia fedha zetu bila mpango mzuri?
Takribani miaka mitano iliyopita, kumewepo na bajeti kubwa ya kuhamisha makao makuu, kutoka Ikulu ya magogoni Hadi kujengwa Ikulu mpya katika mji mkuu wa Kiserikali jijini Dodoma
Mabilioni ya fedha yametumika kuhamisha ofsi za kiserikali karibu wizara zote zimejenga ofisi zake huko Dodoma na kuhamia kabisa.
Kinachonishangaza, ni kuwaona Baadhi ya viongozi tena wakirudi Dar kiwiziwizi yaani kama wanakuja tena kuweka makazi jijini Dar
Je hawa viongozi hawana uchungu na mabilioni ya fedha waliowekeza huko? Kama wananchi walipa Kodi, wakumbuke kwamba hizo fedha zinatuuma kupotelea Kwenye majengo yasiyo kaliwa na watu
Ni kivipi Serikali inaweza kujiwajibisha Kwa upotevu wa mabilioni ya fedha kutumika kujenga maofsi makao makuu ya nchi halafu kuyatekeleza?
Na kama serikali haikuwa na mpango wa kuhamia Dodoma, Kwa nini fedha hizi zisingetumika kutoa ajira mpya Kwa vijana?
Takribani miaka mitano iliyopita, kumewepo na bajeti kubwa ya kuhamisha makao makuu, kutoka Ikulu ya magogoni Hadi kujengwa Ikulu mpya katika mji mkuu wa Kiserikali jijini Dodoma
Mabilioni ya fedha yametumika kuhamisha ofsi za kiserikali karibu wizara zote zimejenga ofisi zake huko Dodoma na kuhamia kabisa.
Kinachonishangaza, ni kuwaona Baadhi ya viongozi tena wakirudi Dar kiwiziwizi yaani kama wanakuja tena kuweka makazi jijini Dar
Je hawa viongozi hawana uchungu na mabilioni ya fedha waliowekeza huko? Kama wananchi walipa Kodi, wakumbuke kwamba hizo fedha zinatuuma kupotelea Kwenye majengo yasiyo kaliwa na watu
Ni kivipi Serikali inaweza kujiwajibisha Kwa upotevu wa mabilioni ya fedha kutumika kujenga maofsi makao makuu ya nchi halafu kuyatekeleza?
Na kama serikali haikuwa na mpango wa kuhamia Dodoma, Kwa nini fedha hizi zisingetumika kutoa ajira mpya Kwa vijana?