Njoo hapa Calabash au Catalonia (zamani Katalunya) au 5NWakuu
Baada ya kusikia kiwanja changu pendwa lachaaz kuungua moto, sasa nipo njia panda ni kiwanja kipi mbadala kwa maeneo ya sinza?
Nataraji kufika jijini, hapo awali sehemu niliyokuwa najiachia ni hapo lachaz
wanabodi nipeni mbadala
🤣🤣🤣🤣Njoo huku Micasa ubungo! Hutojutia ila kwa sasa ni maombolezo so hamna kula bata ni mwendo wa gospel songs tu! Karibu ubarikiwe.
Leo kuna band? Hapo siku ya band nipo.🤣🤣🤣🤣
Si tumekubaliana maombolezo siku 21 jamani?Wakuu
Baada ya kusikia kiwanja changu pendwa lachaaz kuungua moto, sasa nipo njia panda ni kiwanja kipi mbadala kwa maeneo ya sinza?
Nataraji kufika jijini, hapo awali sehemu niliyokuwa najiachia ni hapo lachaz
wanabodi nipeni mbadala
Siyo kwamba ni Triple B. Hapo bata lake hatari sana.Triple C goba
Kumbe unapatikanaga hapa!?Njoo huku Micasa ubungo! Hutojutia ila kwa sasa ni maombolezo so hamna kula bata ni mwendo wa gospel songs tu! Karibu ubarikiwe.
Ndiyo mkuu! Ndiyo kiwanja chako pia nini?Kumbe unapatikanaga hapa!?
Nyie vijana mmeambiwa maombolezo ni siku 21 .Wakuu,
Baada ya kusikia kiwanja changu pendwa lachaaz kuungua moto, sasa nipo njia panda ni kiwanja kipi mbadala kwa maeneo ya sinza?
Nataraji kufika jijini, hapo awali sehemu niliyokuwa najiachia ni hapo La Chaaz
wanabodi nipeni mbadala
Hamna band mkuu hadi maombolezo yaishe kama alivosema mkuu wa Mkoa. Ukija hapa ni slow music+gospel songs, unakula unakunywa unasepa kimya😛Leo kuna band? Hapo siku ya band nipo.
Pale kuna niniNjoo maji chumvi😎
Si hayo maji chumvi ndugu yanguuu,..😂Pale kuna nini
Nahisi ziku 21 watazikata tu, ni nyingi sanaaaSi hayo maji chumvi ndugu yanguuu,..😂