Ila Conte kakuta timu ipo vibaya sana nahic ajasajili yeye zaid ya David Luiz wachezaji wengi niwa Mourhino,makocha wengi kutoka Italy wanapenda soka la kulinda na ukiangalia pale chelsea hakuna beki katili kama jana upande wa Ivanovic ndo palikua njia tumwache asajili kwanza.Conte muda si mrefu kitanuka
Umesahau David Moyes mkuuSlaven Billic
Moyes bado sanaUmesahau David Moyes mkuu
Conte
Bado mapema sanaconte hatutakula nae xmass
Baada ya siku 67 kazini "Big Sam" Alladyce keshafungashiwa virago! Uingereza "si watu wa mchezo mchezo"! …In someone's voice..kocha wa ENGLAND atimuliwa
Amepatwa na hila ya usajili "wa magendo" wa wachezaji kinyume na kanuni za FA na FIFA..Whats wrong wth big Sam??
Majeruhi wa kwanza huyu. Link Swansea sack Francesco Guidolin and appoint Bob Bradley managerLigi kuu ya Uingereza Ndo iyo imezd kushika kasi,huku mashabiki wengne wakicheka,wengne huzuni tupuu wengne wakilia kabsaa ndo utamu wa ligi huo..
Jaapo ni mapema sanaa kulisema hili nalotaka kulisema ila wacha niliseme tuu kwani Waswahili wanasema Dalili za Mvua ni Mawingu au Biashara Mapema
Je kwa mtazamo wako jinsi unavyoifwatilia ligi Unahisi ni KOCHA GANI ATAKUA WA KWANZA KABISA KUONESHWA MLANGO WA KUTOKEA AU WASWAHILI WASEMA KIBARUA KUOTA NYASI/MAGUGU???
TUPE MAONI YAKO.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]conte hatutakula nae xmass
TrueTimu zenye uwezekano wa kutimua makocha mapema sana kwenye PL ni Swansea, Stoke City na West Ham. Kocha wa kwanza kutimuliwa PL atatokana na mojawapo kati ya hizo timu..
Watch this space
Duh! Hata mechi 20 hajafikisha!Kule chini championship, Aston villa wamemfungashia vilago ndugu di mateo