Ni kocha yupi atakua wa kwanza kuoneshwa mlango wa kutokea??

Ni kocha yupi atakua wa kwanza kuoneshwa mlango wa kutokea??

Conte muda si mrefu kitanuka
Ila Conte kakuta timu ipo vibaya sana nahic ajasajili yeye zaid ya David Luiz wachezaji wengi niwa Mourhino,makocha wengi kutoka Italy wanapenda soka la kulinda na ukiangalia pale chelsea hakuna beki katili kama jana upande wa Ivanovic ndo palikua njia tumwache asajili kwanza.

Pia bosi wake kama malengo ya kuingia top 4 na sio ubingwa
 
conte hatutakula nae xmass
Abramovic amekubal mpango wa kuifanyia timu mageuzi wachezaji wengi sana pale wataondoka...conte bado ako na nafasi timu hajasajili yeye hii
 
Ligi kuu ya Uingereza Ndo iyo imezd kushika kasi,huku mashabiki wengne wakicheka,wengne huzuni tupuu wengne wakilia kabsaa ndo utamu wa ligi huo..

Jaapo ni mapema sanaa kulisema hili nalotaka kulisema ila wacha niliseme tuu kwani Waswahili wanasema Dalili za Mvua ni Mawingu au Biashara Mapema

Je kwa mtazamo wako jinsi unavyoifwatilia ligi Unahisi ni KOCHA GANI ATAKUA WA KWANZA KABISA KUONESHWA MLANGO WA KUTOKEA AU WASWAHILI WASEMA KIBARUA KUOTA NYASI/MAGUGU???

TUPE MAONI YAKO.
Majeruhi wa kwanza huyu. Link Swansea sack Francesco Guidolin and appoint Bob Bradley manager
 
Timu zenye uwezekano wa kutimua makocha mapema sana kwenye PL ni Swansea, Stoke City na West Ham. Kocha wa kwanza kutimuliwa PL atatokana na mojawapo kati ya hizo timu..

Watch this space
True
 
Kule chini championship, Aston villa wamemfungashia vilago ndugu di mateo
 
Back
Top Bottom