Huyu ndo kwanza alitabiriwa mapema sana..Majeruhi wa kwanza huyu. Link Swansea sack Francesco Guidolin and appoint Bob Bradley manager
Timu zenye uwezekano wa kutimua makocha mapema sana kwenye PL ni Swansea, Stoke City na West Ham. Kocha wa kwanza kutimuliwa PL atatokana na mojawapo kati ya hizo timu..Watch this space
Kaanza vibaya sana, katika mechi 11 kashinda moja tuDuh! Hata mechi 20 hajafikisha!
Mechi ya kwanza tu ndo alishinda. Tatizo lake, yule ni mzee wa kupaki, na championship mashambulizi ni ya kufikia. Sasa alitarajia nn kwa hali hiyo?Kaanza vibaya sana, katika mechi 11 kashinda moja tu
Frank De Boer kwenye kitimoto Soka la Italia limekua gumu kwake...Naona Frank de Boer Inter Milan kocha alikua kikaongoni ila leo kachomoa kamchampa Juve 2-1 Inter kapiga mpira mkubwa leo wakiendelea ivi ivi ule utamu wa ligi ya Italia utarudii
Italia alikaa siku 85 Uingereza amekaa siku 77 Je arudi darasani au apumzike kazi ya ukocha..After 85days rasmi Frank de Boer sio kocha wa Inter Milan tena
kwa hapa bongo lwandamina hana uhai ndani ya yanga,sijui kama atafika msimu wa pili,yule kocha hana plan B kabisaaaaa....Ligi kuu ya Uingereza Ndo iyo imezd kushika kasi,huku mashabiki wengne wakicheka,wengne huzuni tupuu wengne wakilia kabsaa ndo utamu wa ligi huo..
Jaapo ni mapema sanaa kulisema hili nalotaka kulisema ila wacha niliseme tuu kwani Waswahili wanasema Dalili za Mvua ni Mawingu au Biashara Mapema
Je kwa mtazamo wako jinsi unavyoifwatilia ligi Unahisi ni KOCHA GANI ATAKUA WA KWANZA KABISA KUONESHWA MLANGO WA KUTOKEA AU WASWAHILI WASEMA KIBARUA KUOTA NYASI/MAGUGU???
TUPE MAONI YAKO.