Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Habari zenu wakuu? Lengo ni kuelishana, kosa ulilolifanya wewe kupitia comment yako huenda likamsaidia mwingine!
Mimi kosa kubwa nililolifanya ni kununua eneo sloped, limenipasua kichwa lile eneo, eneo lina viwanja takribani 300, sasa mimi nilienda kununua wa mwisho nikakuta maeneo mazuri yameshawahiwa.
Kibaya zaidi bei yake ilipoa poa kidogo, nikasema siyo mbaya ngoja nijilipue nyie 😀
Kwa sisi ambao tunapesa za kuunga unga ukinunua eneo kama hilo jiandae.
Mimi kosa kubwa nililolifanya ni kununua eneo sloped, limenipasua kichwa lile eneo, eneo lina viwanja takribani 300, sasa mimi nilienda kununua wa mwisho nikakuta maeneo mazuri yameshawahiwa.
Kibaya zaidi bei yake ilipoa poa kidogo, nikasema siyo mbaya ngoja nijilipue nyie 😀
Kwa sisi ambao tunapesa za kuunga unga ukinunua eneo kama hilo jiandae.