Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
AiseeeNilivyo uziwa sikua nagari.nikajenga nikamaliza nanjia yakuingilia nakutokea ilikuwepo kwasababu wakati waujenzi gari yavifaa ilikuwa inaingia Hadi site.sasa nimehamia nikakaa miezi6 nikanunua gari Alie niuzia tukaanza mgogoro mara apande miti sehemu ninayo pita mara aanzishe biashara yatofari sehemu ninayo pita kiasi chakubakisha kichochoro chawapita kwamiguu.nikampeleka kwamjumbe akaambiwa angoe miti yake akingoa sikuchache ana panda tena.nikaona Bora niuze nikajenga sehem salama yenye majirani wanao jielewa sio yule chawivu anaetamani kilamtu atembee kwamguu
Hizo "inverter" change over switch zina gharama gani? Huo mfumo una gharimu kiasi gani?Kwa sasa,kulingana na mambo ya mgao wa umeme, kuwa na mfumo wa solar ni muhimu sana.
Mfumo wa solar utatumia hiyohiyo wiring kwa mtu mwenye uwezo kwa kuweka inverter na change over switch ili kubadili tanesco/solar, vyote hivyo vitahitaji distribution network mapema ikiwa ni sehemu ya battery,inverter na solar yenyewe.
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Bora kuchimba kisima?Ukiwa na familia mkuu tank hata uwe nazo tatu bado utaziona kama ndoo nne,nina tank mbili moja 2000ltr na lingine 4000ltr na kisima cha kuvunia maji ya mvua ila hayo maji kwa matumizi ya kawaida ya familia kufua nguo za watoto na wote ni wadogo hawajaosha vyombo kufua nguo za wakubwa yasipotumika kwa akili hayakai mwezi.
Naishi Mbezi huko maji Dawasa engineer wanafungua siku wanazotaka wao so yanayopatikana kidogo yasipotumika kwa akili itanitoka siyo chini ya 120K per month budget ya maji tu.
Futi ngap?Hii imenikuta..Mimi Ni madirisha makubwa Tena mengi..najuta
Hivi tank ltr 10000 ni sh ngapi?UMejenga nyumba kwanini usiwe na plan ya tanki la maji? Lita 5,000 ama 10,000 linatosha kusukuma maisha kwa week nzima, ambapo inakuvusha hadi dawasco ama mamlaka ya maji ya mji wako watakapo toa maji tena in case kuna mgao.
Ni 1.5m+
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wa JF.... Hapana.
Limetucost wengi hili, hela iliteketea kwenye foundation, siwezi sahau kwa kweli.Kununua kiwanja sloped.
Any way Mungu ni mwema
Umenizindua mkuu. Asante sana.Kutoweka wiring system ya solar! Mnaojenga saivi hili nalo mlitizame..
Kujenga kwenye makazi holela , sitokuja kufanya katika maisha yangu.Kujenga sehemu ambayo ukiwa nausafiri kutoka,kuingia na paking nishida.nimeuza nyumba nikajenga sehemu nyingine.
kunagharimu mnoo mkuu.Kujenga kwenye makazi holela , sitokuja kufanya katika maisha yangu.
Around 2,000,000 hivi
Likijaa hadi juu tegemea bomu .. presha ya maji na ukubwa wa mzingo 10,000 litres lazima liitike kama sio leo siku za mbeleni..
Mmh pesa ndefu...but likiwa full huna presha za kiduanziAround 2,000,000 hivi
Hebu mkuu nifafanulie hapa vizuriLikijaa Hadi juu tegemea bomu .. presha ya maji na ukubwa wa mzingo 10,000 litres lazima liitike kama sio Leo Siku za mbeleni..
Ushauri wangu....
Usinunue tank...kubwaaa au usilijaze sana
Watu wanamiliki matenki ya 10,000lts miaka zaidi ya mitano hayajawahi kubasti, hii dhana umeipata wapi?Likijaa Hadi juu tegemea bomu .. presha ya maji na ukubwa wa mzingo 10,000 litres lazima liitike kama sio Leo Siku za mbeleni..
Ushauri wangu....
Usinunue tank...kubwaaa au usilijaze sana
Nilikuwa wa kwanza kujenga nyumba sehemu ambayo ilikuwa imepanuliwa kuwa sehemu ya jiji la Mwanza sehemu za Mkolani. Nikajenga nyumba yangu kubwa ya kisasa kwa gharama kubwa sana hasa kwa vile ilinilazimu kujivutia maji na umeme mwenyewe. Baada ya miaka 15 eneo likavamaiwa na ujenzi holela wao wakiuita upimaji shirikishi na hivyo jumba langu kuzungukwa na vijumba visivyo na mpangilio kiasi kuwa hata njia ya kwenda nyumbani kwangu haipo tena inabidi nizunguke zunguke kwa kubahatisha hadi kufika nyumbani.Habari wana JF
Ni kosa gani ulilifanya kipindi unajenga na ungependa wengine wajifunze ili lisitokee kwao?
[emoji23][emoji23][emoji23]Uzi mzuri huu. Kwa kuanzia mimi mafundi walipindisha lenta.
Nasubiri kupaua sasa nione kitakchofuata.