Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

Aiseee

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Hizo "inverter" change over switch zina gharama gani? Huo mfumo una gharimu kiasi gani?
 
Bora kuchimba kisima?
 
Habari wana JF

Ni kosa gani ulilifanya kipindi unajenga na ungependa wengine wajifunze ili lisitokee kwao?
Nilikuwa wa kwanza kujenga nyumba sehemu ambayo ilikuwa imepanuliwa kuwa sehemu ya jiji la Mwanza sehemu za Mkolani. Nikajenga nyumba yangu kubwa ya kisasa kwa gharama kubwa sana hasa kwa vile ilinilazimu kujivutia maji na umeme mwenyewe. Baada ya miaka 15 eneo likavamaiwa na ujenzi holela wao wakiuita upimaji shirikishi na hivyo jumba langu kuzungukwa na vijumba visivyo na mpangilio kiasi kuwa hata njia ya kwenda nyumbani kwangu haipo tena inabidi nizunguke zunguke kwa kubahatisha hadi kufika nyumbani.

Ushauri wangu ni kwamba epuka kujenga eneo ambalo halijajengwa kwani hujui litakuja kujengwa vipi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…