Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
😀😀😀 Ukawa kama Dk Bilali aliyekuwa anatembea na kimkasi. Akifika sehemu akakuta kuna kitu cha kuzindua, anazindua hapo hapo...ahahaaa yaani acha kabisa mafundi walinifanya nikanunua tape measure ya kwangu kabisa nakuwa nayo kiunoni maana kwa kufuatilia vipimo,kila nikifika lazima niwaombe tape measure yao, sasa wakati mwingine wakiniona tu wanaficha yao,ikabidi niingie dukani nikifika site na vuta tu kuhakiki vipimo bac wanabaki kutizamana tu
Nimecheka kama nakuona mimi changu kimekwamaKujenga kighorofa.
Jameni, hii shughuli si yakitoto. Ningejenga nyumba ya chini ya vyumba viwili, ningesha hamia kitambo!
Ha haa! Nitumie picha PM nikiwekee mikono ya baraka kikwamuke 23'!Nimecheka kama nakuona mimi changu kimekwama
Acha kabisa haya maisha hakuna ajuaye kesho😀😀😀 Ukawa kama Dk Bilali aliyekuwa anatembea na kimkasi. Akifika sehemu akakuta kuna kitu cha kuzindua, anazindua hapo hapo...
Okay,Hujaeleweka
AiseHii kitu najuta sana yani sana hapa nimebidi nifukuze fundi nimeleta mwingine arekebishe makosa
Weka beiMwenye uhitaji wa Bati Charcoal Grey chapa Alaf na kofia zake nimepaua zimebaki nipo Bunju.
Ukiongeza wewe onatoshaBora mumeo aongeze mke muwe wawili,nyumba utaona ndogo sana
Kujenga nyumba bati kufichilia ndani(hidden roof) kwakweli maisha yamekuwa ya wasiwasi kipindi hiki cha mvua nakaa ndani utafikiri nimejificha chini ya mwembe.
Kuajiri plumber uchwara. Kuta maji yanavuja rangi imebanduka sana
Unauza bei gani? Nahitaji 10pcsMwenye uhitaji wa Bati Charcoal Grey chapa Alaf na kofia zake nimepaua zimebaki nipo Bunju.
Nakuchek DM sikupati, nahitaji hizo bati mkuuUnatoa nusu bei nifidie angalau
Mkuu nikifikia hatua ya kupaua ntakutafuta maana izi nyumba za kuficha paa zinasumbua sana mafundiTuko hapa kutatua hyo shida karibu uhudumiwe 0757735884
Na bado hapo una kazi ya kujaza kifusi kijae 🤣🤣🤣Kujenga kwanye slope,kuna upande umeenda kozi 12...
hapo utakunywa sana mikojo mkuu na matumbo mtaugua sana.Nilishauriwa Kujenga mashimo mawili ya choo,la square na duara ,sasa hivi wengi wananiambia naweza kutumia moja la duara,nawaza hili lingine la square kulifanya kisima cha kuvunia maji ya mvua .
sasa umbali wa shimo la maji taka na shimo la maji safi ni sqm moja ,japo hili la maji safi limesakafiwa ndani,wakuu huu ukaribu hautasumbua?
Daaah!!! Hii ilitokea kwa mzee wangu baada ya kustaafu akanunua jengo kubwa(pagale) hivyo kulimalizia limemkomba hela nyingi na bado hakijakamilika.Kuanza kujenga kwa pesa za pension baada ya kustaafu.
Mzee wangu baada ya kustaafu alifanya hicho kitu. Ni hatari kupita maelezo. Kwanini?
1. Mhusika hashauriki, anataka tu kujenga kwa sababu ana pesa mfukoni.
2. Anachokijenga huwa hakieleweki au hakikamiliki. Anaamini pesa yake ya pension inatosha kufanya chochote au kila kitu kitawezekana. Anaokota ramani popote anataka kujenga.
Bosi hii so hasara. Kuna maeneo mengine yapo ya kishua kabisaa na hununui njia, tayari ipo na haina utataNilichofanya sasa hivi nimenunua kiwanja hadi na njia ya kunipeleka main road...
haikua njia nimenunua in terms ya viwanja vya 5 kwa 10, nikaenda mbele tena nkakuta 5 kwa 15 nikaenda hvyo hvyo hadi cha kule mbele kilikua na 10 kwa 12 ... vyote hvyo si vya kujenga kitu ila n njia yangu ya kupita na kutoka na gari, Hajengi KIMA yoyote wala otesha mti nyau yoyote yule.
na hamna anaejua nmevnunua viwe njia wote wanajua n viwanja ntakuja jenga mabanda ya kuku.
hela ya kununua huko ndo sina mkuu... mi mwenyewe unga unga mwanaBosi hii so hasara. Kuna maeneo mengine yapo ya kishua kabisaa na hununui njia, tayari ipo na haina utata