Mnyiramba
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,141
- 3,119
Wazee wamejenga nyumba ya ghorofa moja master bedroom yao ipo juu sasa umri umeenda kupanda ngazi na kushuka kila siku kwenda chumbani wanaona shida
wamehamia chumba cha chini mdogo wangu ndo kahamia kwenye master bedroom juu
So ukijenga ghorofa baadae ukizeeka utarudi chini labda uweke lift [emoji28]
Sema ukizeeka halafu hauna mazoezi!,kushindwa kupanda one floor labda uzee wa miaka 90+,lakini kama ulikuwa mtu wa mazoezi unapanda fresh tu,ndio maana kijijini unakuta mzee miaka 85+ analima na kufanya shughuli zake bila matatizo yeyote,ila mjini mzee miaka 65 yupo taabani