Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

Wazee wamejenga nyumba ya ghorofa moja master bedroom yao ipo juu sasa umri umeenda kupanda ngazi na kushuka kila siku kwenda chumbani wanaona shida

wamehamia chumba cha chini mdogo wangu ndo kahamia kwenye master bedroom juu


So ukijenga ghorofa baadae ukizeeka utarudi chini labda uweke lift [emoji28]

Sema ukizeeka halafu hauna mazoezi!,kushindwa kupanda one floor labda uzee wa miaka 90+,lakini kama ulikuwa mtu wa mazoezi unapanda fresh tu,ndio maana kijijini unakuta mzee miaka 85+ analima na kufanya shughuli zake bila matatizo yeyote,ila mjini mzee miaka 65 yupo taabani
 
Sema ukizeeka halafu hauna mazoezi!,kushindwa kupanda one floor labda uzee wa miaka 90+,lakini kama ulikuwa mtu wa mazoezi unapanda fresh tu,ndio maana kijijini unakuta mzee miaka 85+ analima na kufanya shughuli zake bila matatizo yeyote,ila mjini mzee miaka 65 yupo taabani
Upo sahihi mkuu mazoezi ni muhimu

Sema wazee wameamua kuhamia chini sio kama hawawezi kabisa kupanda hapana ila wameamua hivyo kwakua wanaona usumbufu wa kupanda na kushuka ngazi kila siku plus risk za kudondoka na kuanguka

si unajua tena uzee injury ndogo tu inaweza ikakuletea madhara makubwa tofauti na atakayopata kijana ambaye bado ana nguvu
 
Wakati najenga nilikua nashinda site na nabeba hadi tofali mwenyewe ,siku moja fundi wangu akaongeza nguvu ya fundi mmoja na saidia wake nilipofika nikasalimia fresh nikaingia kusambaza tofali bwana bwana yule fundi mgeni acha aanze domo domo we unakuja kwenye kazi kibishoo traki safi nini we mtoto wa mama tuu me namchora tu ,fundi wangu akamwambia we ndie boss huyooo[emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kama una shimo lubwa kwenye msingi, unaweza kulitumia kama septic tank au kiaima cha maji, lakini hii lazima plan ianze wakati unaaanza kujenga.

Unaweza kuweka shimo la choo kwenye msingi na bado ukawa na hivi vyoo vya kawaida vya kuflash.

Watu qenye viwanja vidogo pia huwa wanaweka mashimo yao kwenye msingi wa nyumba

Kuna nyumba zingine huwa wanaweza visima
 
Zamani nilikua naona wanaoacha viwanja muda mrefu hawajengi kama wajinga flani hivi.

ila nimekuja gundua kuna maana kubwa sana ya kuacha kiherehere cha kuanza ujenzi kisa una pesa na unaweza.

Kile kiwanja nilinunua enzi ni pori la maana tu,haraka haraka kimbilia jenga..

Tangu zamani nilishasema sitowahi jenga uswahilini, ila sikua najua wanaojenga uswahili hawakuwahi waza kama patakuja kuwa uswahilini.

Baada ya ujenzi miaka kadhaa mbele ule mtaa haukua na tofauti na tandale, ule uswahili,vile vijumba vilivyokua vikichipuka kama uyoga nikajikuta nimewekwa mtu kati, nmezungukwa na vijumba vingiiiiiii...

Nikaona hapa Usintanie,Madalali kazi yao nini? Nikapauza kama palivyo.

Hela yote nimenunulia kiwanja sehemu nyingine, Sijengi ng'o mpaka nihakikishe ule mtaa ni wanaojielewa.

Ntapanga hivi hivi ila siwezi jenga mtaa ambao sina uhakika nawataokuja.

Hii mambo ya kuharakisha kujenga sehemu nyumba ya maana ndio unaweza jikuta unajenga mtaa kama kwa mtogole...

Baadae watoto wanakuuliza baba ilikuaje ukaja kujenga huu mtaa... Unakosa majibu.
Go for surveyes plots hutojuta
 
Kuna ndugu alinunua eneo la familia aliuziwa na mama mwenye eneo ... mama hakushirikisha binti zake... Kitendo cha kuanza kujenga tu ndugu hao,mara kwa mtendaji mara kwa wazee wa eneo husika.....kijana akaenda kwao akawaleta wazee wa kwao yani wazee hata kutembea hawawezi.... Mama akaulizwa eneo la nani...akajibu lake mwenyewe na kaliuza kwa ridhaa yake...wazee wa hapo na mabinti wakaulizwa nyie kipingamizi chenu ni nini? Mabinti wakadai eti ni urithi wao...wale wazee wakawambia hayo malizaneni wenyewe.....Wazee wakaacha onyo....wao wanaondoka na kijana wao anaendelea kujenga, mkimsumbua mtakuwa mnafanya Kazi ya kuuguza na kuzika mpaka muishe wote.....kwanzia hapo kijana alipata ushirikiano mpaka kwa mtendaji...kila hatua walikuwa wanakuja kuangalia anaendeleaje.
Khatarious
 
Najuta kuwahi kujenga. Nilijenga nyumba yangu five years ago ilikua ni nyumba kali mtaani hapa sasa wamekuja vijana wamejenga vijumba vyao vya kawaida lkn well designed mpaka nyumba yangu inaonekana ya kishamba sana. Natamani nibomoe nijenge tena nikifikiria gharama naishia kuacha tu 🤨
 
Najuta kuwahi kujenga. Nilijenga nyumba yangu five years ago ilikua ni nyumba kali mtaani hapa sasa wamekuja vijana wamejenga vijumba vyao vya kawaida lkn well designed mpaka nyumba yangu inaonekana ya kishamba sana. Natamani nibomoe nijenge tena nikifikiria gharama naishia kuacha tu 🤨
Unajua kwanini? Kila siku style mpya zinaibuka..kwahiyo aliyejenga zamani nyumba yake itaonekana ya kishamba,kama unakumbuka kipindi cha nyuma watu walikua wanajenga na kupaua mgongo wa ng'ombe basi...siku hizi nyumba ina kona kona na bati zinakatika hatari.
 
Back
Top Bottom