Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
Hongera kwa kuhamia... Ila, ukimaliza, heshima mtaani lazima iwepo.Kwa kweli sio jambo la kitoto. Ni kwamba unajenga nyumba mbili kwa wakati mmoja, na kipato chenyewe cha kuunga unga. Mpaka sasa sijapaua, ila nimeshahamia nakaa kwenye andagraundi, japo jasho linanitoka sana kumaliza jengo.
Ahsante. Ni kweli mkuu, ikiisha kuna kaheshima kataongezeka, na binadamu tunapenda furaha na kuheshimiwa, hivyo tu😀😀Hongera kwa kuhamia... Ila, ukimaliza, heshima mtaani lazima iwepo.
Nimejenga underground iliyofanywa na fundi wa mtaani (local fundi), wakati wa kumwaga slab, kwenye wiring map ya umeme hawakuweka zile hook za feni (pangaboi), sasa baada ya kumiminwa slab juu hakuna mahali pa kufunga feni au la niweke mbao za dari ili nipate mbao ya kufungia hook, kitu ambacho ni hasara, maana nitakuwa na slab na bado nimeweka dari.
Ninalazimia kutumia feni za kusimama ambazo sizipendi na zinaleta ghasia tu, sijui kama inawezekana kudrill ili tuweke hook ya feni ili nifunge pangaboi.
Mimi mpaka leo nilimpa laana MPUUZI yule amenitia hasara sana kama sio kujizuia leo hii ningekuwa MAHABUSUkumuamini fundi
kmmk yule fundi alijua kuniletea hasara lakini nashukuru Mungu nilikuja kushtuka mapema
pole sana mkuu hawa jamaa wanakera sanaMimi mpaka leo nilimpa laana MPUUZI yule amenitia hasara sana kama sio kujizuia leo hii ningekuwa MAHABUSU
Binafsi sioni shida. Baadhi vyumba mnaweza kubadilisha matumizi. Kimoja mkafanya cha mazoezi mkaweka vifaa vya mazoezi kingine home library.Nimejenga jumba kuubwa, sebule km kiwanja cha mpira, hlf vyumba ni vi 3 tu...
nawaza siku tukibaki 2(mimi na baba chanja), watoto wakipata maisha yao sijui tutaishi vipi.
NUnua feni za maji au AC za kusimama,, Teknolojia imekua jiachie maisha mafupi sana.Nimejenga underground iliyofanywa na fundi wa mtaani (local fundi), wakati wa kumwaga slab, kwenye wiring map ya umeme hawakuweka zile hook za feni (pangaboi), sasa baada ya kumiminwa slab juu hakuna mahali pa kufunga feni au la niweke mbao za dari ili nipate mbao ya kufungia hook, kitu ambacho ni hasara, maana nitakuwa na slab na bado nimeweka dari.
Ninalazimia kutumia feni za kusimama ambazo sizipendi na zinaleta ghasia tu, sijui kama inawezekana kudrill ili tuweke hook ya feni ili nifunge pangaboi.
Imetulia sanaVipi hapa imekaaje wakuu?View attachment 2470699
Hivi kanaweza kakawa na vyumba vingapi?Imetulia sana
Mkuu nikifikia hatua ya kupaua ntakutafuta maana izi nyumba za kuficha paa zinasumbua sana mafundi
Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Jazia nyama nyama mkuu tujue shida ni nini maana hapa tayari nina ramani mkononi 2023 ikianza nijilipue
Kujenga kighorofa.
Jameni, hii shughuli si yakitoto. Ningejenga nyumba ya chini ya vyumba viwili, ningesha hamia kitambo!
Wakuu na Mimi naomba Mwenye ramani ya vyumba vitatu
Vyote viwe na vyoo ndani,
Na jiko,
Anitumie PM
Naomba mawazo pia ili nisije kufanya makosa
Kwamba haiwezekani kuvunja chumba kimoja akapata choo ...Hii kuna rafiki yangu amejenga nyumba ya kisasa ila imekosa choo ndani..inamuuma saana...kwasababu alikua amejenga kidogo kidogo yani kwa kudunduliza...sasa kama unavyojua maisha yanabadilika...anajilaumu vibaya. Vyumba 5 ndani ila choo cha nje.
Na kujenga nyumba ndogo sana pia unaweza jilaumu hasa kipato kikiongezeka kidogo..unajikuta unataman kuanza ujenzi upyaKujenga nyumba kuuuubwa ... its absolute unnecessary and regrettable
Hiki ni kilinge sio nyumbaVipi hapa imekaaje wakuu?View attachment 2470699
We jamaa una undugu na Msando?Lakini ninadhani hiyo unaweza kuiweka muda wowote