Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

Kuiga majirani zangu kupiga bati za bei mbaya na pesa kuishia hapo hapo View attachment 2533948
Hahaaaaa nimecheka sana, hii ngoma ni mwisho but moja inafika elf 70,000 na baadhi ya kampuni hadi 90,000.
Usiige Mkuu utakuja kimbia nyumba kama hujajipanga

Ila inakaa poaw sana katik nyumba Hii Royal Versatile Charcoal Grey
 
Hahaaaaa nimecheka sana, hii ngoma ni mwisho but moja inafika elf 70,000 na baadhi ya kampuni hadi 90,000.
Usiige Mkuu utakuja kimbia nyumba kama hujajipanga

Ila inakaa poaw sana katik nyumba Hii Royal Versatile Charcoal Grey
Hii bati inapendezesha sana nyumba,kizuri gharama.
 
Kutosawazisha ardhi na kujenga underground. Nondo, cement, kokoto nk. Usipime
 
Nilivyouziwa sikua nagari, nikajenga nikamaliza na njia ya kuingilia na kutokea ilikuwepo kwasababu wakati wa ujenzi gari ya vifaa ilikuwa inaingia Hadi site.

Sasa nimehamia nikakaa miezi 6 nikanunua gari Alieniuzia tukaanza mgogoro mara apande miti sehemu ninayo pita mara aanzishe biashara ya tofari sehemu ninayo pita kiasi cha kubakisha kichochoro cha wapita kwa miguu.

Nikampeleka kwa mjumbe akaambiwa angoe miti yake akingoa siku chache ana panda tena, nikaona Bora niuze nikajenga sehemU salama yenye majirani wanaojielewa sio yule chawivu anaetamani kila mtu atembee kwamguu.
😅😅
 
Hahaaaaa nimecheka sana, hii ngoma ni mwisho but moja inafika elf 70,000 na baadhi ya kampuni hadi 90,000.
Usiige Mkuu utakuja kimbia nyumba kama hujajipanga

Ila inakaa poaw sana katik nyumba Hii Royal Versatile Charcoal Grey

Kaka alaf balaa sqr 21300... mimi nyumba yangu ilihitaj sqrs 470 hiv jasho lilinitoka mzee [emoji28]
 
IMG_4054.jpg
 
Naonaga kama gharama ya kufyatua mwenyewe ni kubwa kuliko kununua

Mmmh kaka Hapana kwanza unakua na hakika na Tofar zako Mana ukinunua jua jamaa wanataka faida so hazitakua na ratio nzur lbd kwa mfuko wanaweza toa 50 wakati wewe ungetoa 40 hawawez mwagilizia inavyotakiwa ukifyatua wewe utamwaga maji ya kutosha ivo ivo utaokoa pesa kibao

Mimi mara ya kwanza nilifyatua Tofar 3000 nikaokoa kama lak sita mara ya pili apa nilikuta cement imepanda nikaokoa ka lak nne na 80 brother unaokoa pesa nyingi sana na unakua na Tofar imara sana
 
Mmmh kaka Hapana kwanza unakua na hakika na Tofar zako Mana ukinunua jua jamaa wanataka faida so hazitakua na ratio nzur lbd kwa mfuko wanaweza toa 50 wakati wewe ungetoa 40 hawawez mwagilizia inavyotakiwa ukifyatua wewe utamwaga maji ya kutosha ivo ivo utaokoa pesa kibao

Mimi mara ya kwanza nilifyatua Tofar 3000 nikaokoa kama lak sita mara ya pili apa nilikuta cement imepanda nikaokoa ka lak nne na 80 brother unaokoa pesa nyingi sana na unakua na Tofar imara sana
Ulitumia mashine ya umeme yenye mixer na vibrator au ile shindilia ya mkono (bambam)? Ulinunua au ulikodi?

Kuna gharama ya kununua mchanga, cement, vibao, maji ya kumwagilia, gharama ya kuwalipa wafyatua tofali, vibao vya tofali na gharama ya umeme kama utatumia vibrator na mixer


Ili utoe tofali 3000 kwa ratio ya 40 utahitaji cement mifuko 75 (cement 1@16,500)
●Mifuko 75@16,500= 1,237,500

Mchanga wa tofali 3000
●Mchanga mnene trip 2@400,000= 800,000 (FAW ton 20)
●Mchanga mlaini; Bagamoyo/Kibaha trip 1@350,000 (SCANIA mende)

Gharama za wapiga tofali (Mfuko 1@4000)
●Mifuko 75@4000=300,000

Kibao 1@1700
●Vibao 1000@1700=1,700,000


HADI HAPO TAYARI 4,387,500
SIJAHESABIA GHARAMA ZA KUKODI/KUNUNUA MASHINE, MAJI NA UMEME

UKINUNUA TOFALI 3000@1100 NI 3,300,000

NB: GHARAMA INATEGEMEA NA ENEO HUSIKA HIYO HESABU NI KWA MKOA WA DAR
 
Ulitumia mashine ya umeme yenye mixer na vibrator au ile shindilia ya mkono (bambam)? Ulinunua au ulikodi?

Kuna gharama ya kununua mchanga, cement, vibao, maji ya kumwagilia, gharama ya kuwalipa wafyatua tofali, vibao vya tofali na gharama ya umeme kama utatumia vibrator na mixer


Ili utoe tofali 3000 kwa ratio ya 40 utahitaji cement mifuko 75 (cement 1@16,500)
●Mifuko 75@16,500= 1,237,500

Mchanga wa tofali 3000
●Mchanga mnene 2@400,000: 800,000 (FAW ton 20)
●Mchanga mlaini; Bagamoyo/Kibaha 1@350,000 (SCANIA mende)

Gharama za wapiga tofali (Mfuko 1@4000)
●Mifuko 75@4000=300,000

Kibao 1@1700
●Vibao 1000@1700=1,700,000


HADI HAPO TAYARI 4,387,500
SIJAHESABIA GHARAMA ZA KUKODI/KUNUNUA MASHINE, MAJI NA UMEME

UKINUNUA TOFALI 3000@1100 NI 3,300,000

NB: GHARAMA INATEGEMEA NA ENEO HUSIKA HIYO HESABU NI KWA MKOA WA DAR

Mmmmm kaka Hapana gharama zako kubwa sana...

Mimi ilikua hiv...

Cement 75@18000.......1,350,000

Mchanga trip 12@50000.....600,000

Fund na vibao vyake 120@3000....360,000

Maji bills 30000


GRAND TOTAL.....2,340,000


Sasa apo Piga hesabu ata ka unanunua kwa

tsh 1000*3000= 3,000,000

Ingekua ivo mzee wanao uza wasingekua na faida sasa ingia field fresh utaona
 
Mmmmm kaka Hapana gharama zako kubwa sana...

Mimi ilikua hiv...

Cement 75@18000.......1,350,000

Mchanga trip 12@50000.....600,000

Fund na vibao vyake 120@3000....360,000

Maji bills 30000


GRAND TOTAL.....2,340,000


Sasa apo Piga hesabu ata ka unanunua kwa

tsh 1000*3000= 3,000,000

Ingekua ivo mzee wanao uza wasingekua na faida sasa ingia field fresh utaona
Ndio maana nikasema inategemea na eneo nimeona kuna mtu kasema hiyo nyumba kaiona Arusha. Hizo gharama kwa Dar ni kawaida sana
 
Back
Top Bottom