Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Siku yoyote inayojenga hata tofari moja unatakiwa kuwepo.Nina eneo langu hapo mpigi magoe kwa mama mzungu nataka anza kifanyi makeke…
Shukrani kwa uzi huu mzuri na wenye kufundisha mambo kadhaa muhimu
Vipi umeshahamia ?Kujenga kighorofa.
Jameni, hii shughuli si yakitoto. Ningejenga nyumba ya chini ya vyumba viwili, ningesha hamia kitambo!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kujenga choo cha shimo ndani ya nyumba[emoji17]
Hivi maji ya DAWASA yameshafika Mpigi?
Vizuri changamoto iliyobaki ni barabaraUpdate: nilifika jana kucheki site yangu baada ya kipindi kirefu kupita… mji umekua na unakua kwa kasi…bei ya viwanja imepanda na hofu yako ya maji ya Dawasco basi imeisha, maji yamefika na kila kinachoitajika kipo kwa sasa…
Uza eneo au mpige figisu mpaka ahameNimejenga kwenye mtaa ambao jirani yangu kaamua kugeuza nyumba yake danguro na kilabu cha pombe kali. Asubuhi unakutana na used condoms kibao. Maisha haya
Nadhani ndani ya miaka 2 lami itakuwa ishapitaVizuri changamoto iliyobaki ni barabara
ItapendezaNadhani ndani ya miaka 2 lami itakuwa ishapita
Cement ina expire?Katika ununuzi wa vifaa kwa ajili ya ujenzi ,simenti ndio itakuwa ya mwisho au itanunuliwa siku hiyo hiyo.
Nilijikuta namwaga zege mara mbili baada ya kwanza kuharibika. Kumbe nilinunua simenti muda mrefu na sikuitunza vizuri ikaharibika.
Siku tunaenda kutoa mbao tulikutana na mchanga almanusra imwangukie fundi.Nyingine tulikuta imeganda, nyingine iko kawaida lakini kumbe ilisha-expire.
Hii hali ya kununua vifaa kidogo kidogo inahitaji umakini sana katika uhifadhi wake.
Haswaa kama ulijui hilo basi anza kulijuaCement ina expire?
Ndiyo. Muda wake wa kutumika ukiisha bila kutumika ina-expire ndg. Na ukihifadhi vibaya ikapata baridi au unyevu unakuta ndani imeganda inakuwa na mabongebonge haifai tena kwa matumizi.Cement ina expire?
Ndugu, Cement haina expire date. Kinachotokea ni kwamba unahifadhi sehemu yenye unyevu then ina absorb maji inaganda.Ndiyo. Muda wake wa kutumika ukiisha bila kutumika ina-expire ndg. Na ukihifadhi vibaya ikapata baridi au unyevu unakuta ndani imeganda inakuwa na mabongebonge haifai tena kwa matumizi.
Ndio inapoteza ubora inakuwa haina nguvu. Nunua cement sehemu ambapo mzigo unatoka sana.Cement ina expire?
Hiyo haiwezi kuwa nyumba. Kwanza ile bomoa jenga bomoa jenga itadhoofisha kuta na kuharibu uimara wa structure ya nyumba yote.Halafu akaanza tu ghafla
Yaani hela anayo mkononi,kila kitu anacho
Anataka kujenga na ramani hana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuwahi hata tamani ya mtu akapaste,akamuachia mwamba achorechore
Na ujenzi fasta ukaanza[emoji1787][emoji1787]
Kujenga bila plan ni kazi jamani,
Kuna ndugu yangu Kila mwaka anafanya marekebisho
Ukienda kesho utakuta amebadili mlango ameweka huku
Ukienda Tena mara amebadili sebule
Mara amekata vyumba
Yaani hekaheka kama zote.
Tunachofanya sio kununua na kuvichukua unalipia dukani [deposit] ukiwa tayari kwa ujenzi unaenda tu kuchukuaKatika ununuzi wa vifaa kwa ajili ya ujenzi ,simenti ndio itakuwa ya mwisho au itanunuliwa siku hiyo hiyo.
Nilijikuta namwaga zege mara mbili baada ya kwanza kuharibika. Kumbe nilinunua simenti muda mrefu na sikuitunza vizuri ikaharibika.
Siku tunaenda kutoa mbao tulikutana na mchanga almanusra imwangukie fundi.Nyingine tulikuta imeganda, nyingine iko kawaida lakini kumbe ilisha-expire.
Hii hali ya kununua vifaa kidogo kidogo inahitaji umakini sana katika uhifadhi wake.
Hii ni sawa kwa kipindi hiki zamani kidogo uaminifu na watu wa maduka ulikuwa mdogo sana,unaona bora vitu vyako ujitunzie mwenyewe.Tunachofanya sio kununua na kuvichukua unalipia dukani [deposit] ukiwa tayari kwa ujenzi unaenda tu kuchukua
Akipata na kagari na mke anaona kashawinVijana wanaoishi "apartments" hujifanya wa mbele sana ki lifestyle. Ila atarudishwa tu mstarini maisha halisi atakapoyaanza.