mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Unaoa lin dogo?Kutopiga dawa mbao kabla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaoa lin dogo?Kutopiga dawa mbao kabla
Kulowa tena?Kwani unaloa mkuu?
🤣 🤣 🤣 🤣 Yako haijaonesha Mkuu. Ninaomba niangalizie na yangu kamainaonesha sent from SonyHivi nyie wenye Simu zinaonesha sent from my Infinix?!!
Yangu inaonesha kuwa ni LG??
Umeiweka kitaalama sana hii Mkuu.Likijaa Hadi juu tegemea bomu .. presha ya maji na ukubwa wa mzingo 10,000 litres lazima liitike kama sio Leo Siku za mbeleni..
Ushauri wangu....
Usinunue tank...kubwaaa au usilijaze sana
Na mimi naombaWakuu na Mimi naomba Mwenye ramani ya vyumba vitatu
Vyote viwe na vyoo ndani,
Na jiko,
Anitumie PM
Naomba mawazo pia ili nisije kufanya makosa
😀 unatembea na kimada cha mod eeh na hii wataila baniUnaoa lin dogo?
Hii kuna rafiki yangu amejenga nyumba ya kisasa ila imekosa choo ndani..inamuuma saana...kwasababu alikua amejenga kidogo kidogo yani kwa kudunduliza...sasa kama unavyojua maisha yanabadilika...anajilaumu vibaya. Vyumba 5 ndani ila choo cha nje.Kujenga vyumba vinne bila kuwa na selfcontiner
Niliweka Master bedroon karibu sana na kitchen store na jiko, tatizo kubwa ninalopata ni ma house girl ninaopata wanaongea sana na simu hivyo room inakosa kabisa utulivuHabari wana JF
Ni kosa gani ulilifanya kipindi unajenga na ungependa wengine wajifunze ili lisitokee kwao?
Kujenga nyumba kuuuubwa ... its absolute unnecessary and regrettableHabari wana JF
Ni kosa gani ulilifanya kipindi unajenga na ungependa wengine wajifunze ili lisitokee kwao?
Nakubaliana naweHiko ndio kizuri. Ukijenga, nyumba inanoga sana...
Hiyo mkuu imenitokea mimi, nilinunua kiwanja 2010...nikaja kujenga 2015.. siku magufuli anaapishwa ndo nahamia kwangu,, ila sahiv nimezungukwa na waswahili wasiojielewa hata pakupitisha kigari hapapo...nikija kununua gar itabid ilale (CCM.) Natamani kuuza kwa bei ya kutupa nijenge sehemu nyingine..Kijumba chenyewe cha kawaida ila unaishi na watu wenye wivu balaa....Zamani nilikua naona wanaoacha viwanja muda mrefu hawajengi kama wajinga flani hivi.
ila nimekuja gundua kuna maana kubwa sana ya kuacha kiherehere cha kuanza ujenzi kisa una pesa na unaweza.
Kile kiwanja nilinunua enzi ni pori la maana tu,haraka haraka kimbilia jenga..
Tangu zamani nilishasema sitowahi jenga uswahilini, ila sikua najua wanaojenga uswahili hawakuwahi waza kama patakuja kuwa uswahilini.
Baada ya ujenzi miaka kadhaa mbele ule mtaa haukua na tofauti na tandale, ule uswahili,vile vijumba vilivyokua vikichipuka kama uyoga nikajikuta nimewekwa mtu kati, nmezungukwa na vijumba vingiiiiiii...
Nikaona hapa Usintanie,Madalali kazi yao nini? Nikapauza kama palivyo.
Hela yote nimenunulia kiwanja sehemu nyingine, Sijengi ng'o mpaka nihakikishe ule mtaa ni wanaojielewa.
Ntapanga hivi hivi ila siwezi jenga mtaa ambao sina uhakika nawataokuja.
Hii mambo ya kuharakisha kujenga sehemu nyumba ya maana ndio unaweza jikuta unajenga mtaa kama kwa mtogole...
Baadae watoto wanakuuliza baba ilikuaje ukaja kujenga huu mtaa... Unakosa majibu.
We jamaa umenichekesha sanaKujenga choo cha shimo ndani ya nyumba😔
Vyumba vitano vyote vya nini, aue chumba kimoja afanye kutengeneza vyoo vya ndani. Tena achague chumba kilichopo karibu na chumba chake ili atengeneze choo cha master na choo cha public.Hii kuna rafiki yangu amejenga nyumba ya kisasa ila imekosa choo ndani..inamuuma saana...kwasababu alikua amejenga kidogo kidogo yani kwa kudunduliza...sasa kama unavyojua maisha yanabadilika...anajilaumu vibaya. Vyumba 5 ndani ila choo cha nje.
umenikumbusha kitu hapaKuajiri plumber uchwara. Kuta maji yanavuja rangi imebanduka sana
Si kimoja akibadilshe kuwa choo mbona rahisi sanaaa... Shimo la maji taka linakua njee maana huwezi jenga choo cha shimp ndani...!! Sioni kama kuna kitu kakosea hapoHii kuna rafiki yangu amejenga nyumba ya kisasa ila imekosa choo ndani..inamuuma saana...kwasababu alikua amejenga kidogo kidogo yani kwa kudunduliza...sasa kama unavyojua maisha yanabadilika...anajilaumu vibaya. Vyumba 5 ndani ila choo cha nje.