Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

Siriazi vyumba vitatu sqm 76!! Hapo sasa utakua umejenga nini!!,Hio nyumba itakua haina hewa kabisa na imebanana kila kona.standard vyumba vitatu ni sqm 150 ikiwa spacious inafika 200sqm,hii inaitwa medium size house.

Lakini kila mtu ana mapenzi yake ,kiukweli sipend nyumba yenye vyumba vidogo sana hii ni kutokana na nyumba niliyokulia kwa wazee,kipind hicho nipo form 6 naona kabisa chumba ni kidogo hakina hewa vitu vimebanana nikawa najisemea ikitokea nimefanikiwa kujenga yangu huko badae ntaongeza kidogo ukubwa.ila sio mita 5 hizo ni nyingi labda kwa masta.

Asikuambie mtu kuna raha ya kulala kwenye chumba kikubwa chenye hewa .
Hewa unafunga AC
 
Kuna makosa kadhaa niliyafanya

1.Nilimuamini chalii mmoja kosa tu kasomea civil engeering nikq mtrust anichoree ramani kisha nikasafiri nje kidogo then nikawa tuma pesa ijengwe sikiwa na shaka coz aliye chora si ni engineer aisee niliporejea Bongo kuitazama lile boma yaan siku rizishwa nalo mosi vyuma vilikiwa vodogo, choo na bafu humo humo

Aisee sitokuja tena kumpa ndugu kazi ya ku deaign ramani au yoyote ile ya kuhusiana na ujenzi ata kama awe amesomea MIT, Oxford, ata Havard
Kwa hiyo hukuisoma ramani?
 
Maji yanatoka kama mkojo ,pipa litajaa saa ngapi, alafu dawsco wana mtindo wakufungulia upepo badala ya maji , hiki kitendo kinapelekea bill kuja mpaka 70k, kwa mwezi,
Kwamba wameweka compressor?
 
Nakukaribisha kufanya finishing nasi au tembelea ukurasa wetu Instagram Kama highland_decor_solution call /WhatsApp 0757735884 skiming nje ni bure ukitupatia kaz mojawapo
Umekuja haribu uzi, katafute uzi wako
 
Watu wa namna hiyo huwa wachawi. Na mimi Kuna mmoja nakabiliana nae site moja hivi ila nilishamuueleza na ndugu zake kuwa Mimi ni kiboko ya wajinga km wao. Haiwezekani umuuzie mtu kiwanja na kumuonesha njia atakayokuwa anapita, then ghafla kwa sababu ya wivu na ushirikina wako baadae unaziba njia.

Kuuza site/nyumba kwa sababu za wajinga km hao ni uzembe. Mimi Sina mpango wa kuishi hapo leo wala kesho ila muda ukifika watanielewa tu. Mwakani tu nitaenda kuwaonesha show ya kiutu uzima.

Huwezi kuishi kwa kumuogopa mwanadamu mwenzio, na bahati mbaya tu nipo mbali ningewanyoosha.
Fence niliambiwa imezidi mguu mmoja,wakaletwa kundi la watu pamoja na M/Keti,Mtendaji.
Wakaangalia Bicon zile hapana jirani kazidi.Ila anataka tumuachie eneo la kuweka taka.

Jirani shida ni taka tu???

Pima miguu unayotaka mpaka utakapo hisi wapi panakufaa.Mkimaliza mwiteni fundi aje ajenge ukuta pale mlipobomoa.

Kiwanja ni halali na kina kila kitu.
Hasira,wakafunga maji ,simu wakazuia tusiende kuchaji mana palihamiwa kukiwa hakuna Maji wala Umeme.

Haikupita week umeme ukaja na Kisima kikaja.

Na baada ya kuifutilia Bicons zile,kuna jirani napita katikati ya Sebule yake.

Namvutia kasi, siku nikivurugwa basi nami nataka kupanua mji wangu😀😀😀😀

Wakasema dharau😀😀😀
 
Ukiwa na familia mkuu tank hata uwe nazo tatu bado utaziona kama ndoo nne,nina tank mbili moja 2000ltr na lingine 4000ltr na kisima cha kuvunia maji ya mvua ila hayo maji kwa matumizi ya kawaida ya familia kufua nguo za watoto na wote ni wadogo hawajaosha vyombo kufua nguo za wakubwa yasipotumika kwa akili hayakai mwezi.

Naishi Mbezi huko maji Dawasa engineer wanafungua siku wanazotaka wao so yanayopatikana kidogo yasipotumika kwa akili itanitoka siyo chini ya 120K per month budget ya maji tu.
Duh, mzee familia ya watu wangapii hiyo? Halafu maji kukatika mwezi mzima mbona ni nadra sana kwa hayo maeneo? Labda ukame kama wa mwaka jana
 
Fence niliambiwa imezidi mguu mmoja,wakaletwa kundi la watu pamoja na M/Keti,Mtendaji.
Wakaangalia Bicon zile hapana jirani kazidi.Ila anataka tumuachie eneo la kuweka taka.

Jirani shida ni taka tu???

Pima miguu unayotaka mpaka utakapo hisi wapi panakufaa.Mkimaliza mwiteni fundi aje ajenge ukuta pale mlipobomoa.

Kiwanja ni halali na kina kila kitu.
Hasira,wakafunga maji ,simu wakazuia tusiende kuchaji mana palihamiwa kukiwa hakuna Maji wala Umeme.

Haikupita week umeme ukaja na Kisima kikaja.

Na baada ya kuifutilia Bicons zile,kuna jirani napita katikati ya Sebule yake.

Namvutia kasi, siku nikivurugwa basi nami nataka kupanua mji wangu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Wakasema dharau[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji2]
 
Back
Top Bottom