Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sawa kote hata hapaSasa apo kwa mkoani kwangu ni 1200 mkuu
Ndio maana nikasema inategemea na eneo nimeona kuna mtu kasema hiyo nyumba kaiona Arusha. Hizo gharama kwa Dar ni kawaida sana
Ulitumia mashine ya umeme yenye mixer na vibrator au ile shindilia ya mkono (bambam)? Ulinunua au ulikodi?
Kuna gharama ya kununua mchanga, cement, vibao, maji ya kumwagilia, gharama ya kuwalipa wafyatua tofali, vibao vya tofali na gharama ya umeme kama utatumia vibrator na mixer
Ili utoe tofali 3000 kwa ratio ya 40 utahitaji cement mifuko 75 (cement 1@16,500)
●Mifuko 75@16,500= 1,237,500
Mchanga wa tofali 3000
●Mchanga mnene 2@400,000: 800,000 (FAW ton 20)
●Mchanga mlaini; Bagamoyo/Kibaha 1@350,000 (SCANIA mende)
Gharama za wapiga tofali (Mfuko 1@4000)
●Mifuko 75@4000=300,000
Kibao 1@1700
●Vibao 1000@1700=1,700,000
HADI HAPO TAYARI 4,387,500
SIJAHESABIA GHARAMA ZA KUKODI/KUNUNUA MASHINE, MAJI NA UMEME
UKINUNUA TOFALI 3000@1100 NI 3,300,000
NB: GHARAMA INATEGEMEA NA ENEO HUSIKA HIYO HESABU NI KWA MKOA WA DAR
Kuna kitu hatukuwa tumeelewana kumbe huko unamkodi fundi anakuja na mashine yake na vibao vyakePia hapa umechanganya gharama za vibao na wafyatuaji...
Uku kwetu fundi na mashine yake na kibao chake unamlipa 120 kila Tofar analofyatua mzee
Tutumie niniMsitumie flat bar mtaibiwa vitu vya ndani
Tutumie nini
Kama Mtu Ameshaweka Flat Bar...Nini Afanye Kabla Hajahamia??Square pipe ama nondo brother
Tutumie nini
Kama Mtu Ameshaweka Flat Bar...Nini Afanye Kabla Hajahamia??
Ulinzi Si Mtu Anapiga Uzio Mixer Security FENCE...Kwa structure yoyote inayohusu ulinzi
Tumia square pipe, nondo au iron sheet (za mageti)
Wako mafundi wazuri wa kuku design-ia kitu kikawa kizuri cha kuvutia.
Flat bar hapana kwa kweli.
Hizi Tumia kwa structure zinazohitaji urembo na sio ulinzi.
#YNWA
Hivi hapa bongo Kuna watu wanaweza kufanya finishing kama hizi?
Mfano:-Ulinzi Si Mtu Anapiga Uzio Mixer Security FENCE...
anazindua hapo hapo...[emoji3][emoji3][emoji3] Ukawa kama Dk Bilali aliyekuwa anatembea na kimkasi. Akifika sehemu akakuta kuna kitu cha kuzindua, anazindua hapo hapo...
we ndie boss huyooo[emoji23][emoji23]Wakati najenga nilikua nashinda site na nabeba hadi tofali mwenyewe ,siku moja fundi wangu akaongeza nguvu ya fundi mmoja na saidia wake nilipofika nikasalimia fresh nikaingia kusambaza tofali bwana bwana yule fundi mgeni acha aanze domo domo we unakuja kwenye kazi kibishoo traki safi nini we mtoto wa mama tuu me namchora tu ,fundi wangu akamwambia we ndie boss huyooo[emoji23][emoji23]
Wazee wamejenga nyumba ya ghorofa moja master bedroom yao ipo juu sasa umri umeenda kupanda ngazi na kushuka kila siku kwenda chumbani wanaona shidaWazee wamejenga nyumba ya ghorofa moja master bedroom yao ipo juu sasa umri umeenda kupanda ngazi na kushuka kila siku kwenda chumbani wanaona shida
wamehamia chumba cha chini mdogo wangu ndo kahamia kwenye master bedroom juu
So ukijenga ghorofa baadae ukizeeka utarudi chini labda uweke lift [emoji28]
ACHA MAMBO YA UZUNGU MZEE, JENGA SIMPLE TU". kabisaNi kweli, wakati ninajenga nilimpeleka rafiki yangu mmoja site kumuonesha (na yeye alikuwa anamalizia ujenzi wa nyumba yake wakati huo) kuna sehemu akaniuliza, " hapa ni kwa ajili ya nini mbona umeacha hivi" ilikuwa ni jikoni, nikamjibu " hapa nina plan ya kuweka dish washer" baadae akauliza na hapa " nikamwambia hii ni laundry room, plan yangu ni kuweka washing mashine, drying mashine na meza ya kupigia pasi. Alichoniambia baada ya hapo kilinishangaza kidogo, alisema " ACHA MAMBO YA UZUNGU MZEE, JENGA SIMPLE TU". So hii ndio mentality ya wabongo wengi..tunaogopa "uzungu"
Nilimuamini chalii mmoja kosa tu kasomea civil engeering nikq mtrust anichoree ramaniKuna makosa kadhaa niliyafanya
1.Nilimuamini chalii mmoja kosa tu kasomea civil engeering nikq mtrust anichoree ramani kisha nikasafiri nje kidogo then nikawa tuma pesa ijengwe sikiwa na shaka coz aliye chora si ni engineer aisee niliporejea Bongo kuitazama lile boma yaan siku rizishwa nalo mosi vyuma vilikiwa vodogo, choo na bafu humo humo
Aisee sitokuja tena kumpa ndugu kazi ya ku deaign ramani au yoyote ile ya kuhusiana na ujenzi ata kama awe amesomea MIT, Oxford, ata Havard
alijua kuniletea hasara???kumuamini fundi
kmmk yule fundi alijua kuniletea hasara lakini nashukuru Mungu nilikuja kushtuka mapema