Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Inagegemeana na ukubwa wa dirisha. Ila gharama inaweza ku range kati ya 40,000 la chooni hadi 550,000.Ivi jaman kuweka dirisha la aluminum 1 ni 800,000?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inagegemeana na ukubwa wa dirisha. Ila gharama inaweza ku range kati ya 40,000 la chooni hadi 550,000.Ivi jaman kuweka dirisha la aluminum 1 ni 800,000?
Possible...It Depend On Your Measurement!Ivi jaman kuweka dirisha la aluminum 1 ni 800,000?
SAwAInagegemeana na ukubwa wa dirisha. Ila gharama inaweza ku range kati ya 40,000 la chooni hadi 550,000.
Pole mkuu mafundi wengi wa dar wanatamaa sana , wanataka kwenye ujenzi wa nyumba yako na yeye afanye finishing kwakeKosa ambalo nisingependa wenzangu kuja kulirudia ni kufanya shughuli za Ujenzi ukiwa mbali.
Nimejikuta nimeingia Hasara zaidi ya Milioni 5.5.
Fundi anaomba materials alafu baadaye anaongea na Supply anapunguza idadi ya vifaa au wakati mwengine anaviuza pale pale Site 🙆
Ila ili kupata unafuu ni vyema utengeneze quotations kwa mafundi zaidi ya 3 kati ya hao unaweza best priceSAwA
Ila ili kupata unafuu ni vyema utengeneze quotations kwa mafundi zaidi ya 3 kati ya hao unaweza best price
Sana Mkuu, alafu hajui mali ya wizi hata huwezi kuifanyia jambo la manufaa.Pole mkuu mafundi wengi wa dar wanatamaa sana , wanataka kwenye ujenzi wa nyumba yako na yeye afanye finishing kwake
Hili limenikuta, lakini huyu fundi maku najua ntamkomeshea wapi!Kosa ambalo nisingependa wenzangu kuja kulirudia ni kufanya shughuli za Ujenzi ukiwa mbali.
Nimejikuta nimeingia Hasara zaidi ya Milioni 5.5.
Fundi anaomba materials alafu baadaye anaongea na Supply anapunguza idadi ya vifaa au wakati mwengine anaviuza pale pale Site [emoji134]
1. Ni kweli wanawake bahili[emoji23][emoji23]Hili limenikuta, lakini huyu fundi maku najua ntamkomeshea wapi!
Halafu rafiki yake kamtegesha loud speaker akawa ananisema vibaya, eti mi bahili na nalalia sana labour charge, kwahiyo ameniibia laki nne baada ya kupanga mbinu na supplier wa material
Namvutia kasi tu ngoja amalize ujenzi, hela ake simpi
Aseee[emoji16][emoji16]1. Ni kweli wanawake bahili[emoji23][emoji23]
2. Ni kweli mafundi 95% wezi
Una ushahidi wa kutosha?Aseee[emoji16][emoji16]
Ila ntamnyoosha, atalia
Kabisa...alirekodiwa na nilimsikia kwa masikio yangu mkuu..imagine anajimwambafai uwiziUna ushahidi wa kutosha?
Nijuavyo mafundi wamejaa fitina...fundi anamfitini fundi ili achukue kaziKabisa...alirekodiwa na nilimsikia kwa masikio yangu mkuu..imagine anajimwambafai
Aliyekuwa anamrekodi sio fundi hata! Ni rafiki yangu tu tena yuko vizuri mnoo, katikati ya storee zao ndo akaanza sasa kujisifia jinsi alivyonipiga[emoji849][emoji849][emoji848]Nijuavyo mafundi wamejaa fitina...fundi anamfitini fundi ili achukue kazi
Huyo fundi kilazzaAliyekuwa anamrekodi sio fundi hata! Ni rafiki yangu tu tena yuko vizuri mnoo, katikati ya storee zao ndo akaanza sasa kujisifia jinsi alivyonipiga[emoji849][emoji849][emoji848]
Asee nilishangaa sanaa
NB:Nijuavyo mafundi wamejaa fitina...fundi anamfitini fundi ili achukue kazi
Vibayaa mno....ni liswahili lizaramo japo kazi linapiga vizuri sanaHuyo fundi kilazza
Oyaa nicheki basi?Vibayaa mno....ni liswahili lizaramo japo kazi linapiga vizuri sana
TayariiiOyaa nicheki basi?