realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
Katika hali ya kawaida watu wengi hujikuta wamefanya makosa mbali mbali ikiwamo ya Usaliti.
Makosa hayo yanaweza kufanyika kwa kukusudia au kwa kutokukusudia.
Wakati mwingine inakubidi ufanye kosa hilo ili uweze kufanikisha Jambo fulani.
Je limewahi kukutokea hili, na ulivukaje?
Makosa hayo yanaweza kufanyika kwa kukusudia au kwa kutokukusudia.
Wakati mwingine inakubidi ufanye kosa hilo ili uweze kufanikisha Jambo fulani.
Je limewahi kukutokea hili, na ulivukaje?