Ni kosa gani umewahi kulifanya kwenye Mahusiano/Ndoa na umeapa kutorudia tena?

Ni kosa gani umewahi kulifanya kwenye Mahusiano/Ndoa na umeapa kutorudia tena?

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Katika hali ya kawaida watu wengi hujikuta wamefanya makosa mbali mbali ikiwamo ya Usaliti.

Makosa hayo yanaweza kufanyika kwa kukusudia au kwa kutokukusudia.

Wakati mwingine inakubidi ufanye kosa hilo ili uweze kufanikisha Jambo fulani.

Je limewahi kukutokea hili, na ulivukaje?
 
Katika hali ya kawaida watu wengi hujikuta wamefanya makosa mbali mbali ikiwamo ya Usaliti.

Makosa hayo yanaweza kufanyika kwa kukusudia au kwa kutokukusudia.

Wakati mwingine inakubidi ufanye kosa hilo ili uweze kufanikisha Jambo fulani.

Je limewahi kukutokea hili, na ulivukaje?
Kuchelewa kwenda kazini kisa mabusu ya asubuhi asubuhi
 
Back
Top Bottom