Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
She was a WIFE to a BOYFRIEND. What a mistake to me
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asilia 95 ya watu waliopo kwenye ndoaa wanajutaa kuwa na wenza wao hao.Katika hali ya kawaida watu wengi hujikuta wamefanya makosa mbali mbali ikiwamo ya Usaliti.
Makosa hayo yanaweza kufanyika kwa kukusudia au kwa kutokukusudia.
Wakati mwingine inakubidi ufanye kosa hilo ili uweze kufanikisha Jambo fulani.
Je limewahi kukutokea hili, na ulivukaje?
Hatari sana. Anarudi kwa lengo/malengo maalum yakitimia anachukua cheo chake tena kama awali.Ohooo!
Uliwaumiza sana Jamanikosa nililofanya ni kuwaacha wanawake wote nilio date nao, yaani nilikuaa nawalia timing penzi likinoga ndo napiga chini mtu kabla hata hajafikiria hilo.
nimeacha wanawake wengi hadi saivi nimeoa wife simuachi, nimekuja kujua maumivu ya kuachwa nikiwa nimeshaoa yaani ule mchepuko ulivoniacha imeniuma kishenzi.
Mmmh inabidi uwe makini zaidi ya makini.Si ndio vizuri Jamani
Everything is fair in love and war.Uliwaumiza sana Jamani
Utasaga meno...ni laana tuHapo hakuna Amani tena ni majuto
Ilishavunjika cuteItabidi mhame eneo husika na kwenda kuishi mbali Kabisa na ndugu