Ni kosa gani umewahi kulifanya kwenye Mahusiano/Ndoa na umeapa kutorudia tena?

Ni kosa gani umewahi kulifanya kwenye Mahusiano/Ndoa na umeapa kutorudia tena?

Katika hali ya kawaida watu wengi hujikuta wamefanya makosa mbali mbali ikiwamo ya Usaliti.

Makosa hayo yanaweza kufanyika kwa kukusudia au kwa kutokukusudia.

Wakati mwingine inakubidi ufanye kosa hilo ili uweze kufanikisha Jambo fulani.

Je limewahi kukutokea hili, na ulivukaje?
Asilia 95 ya watu waliopo kwenye ndoaa wanajutaa kuwa na wenza wao hao.
 
kosa nililofanya ni kuwaacha wanawake wote nilio date nao, yaani nilikuaa nawalia timing penzi likinoga ndo napiga chini mtu kabla hata hajafikiria hilo.

nimeacha wanawake wengi hadi saivi nimeoa wife simuachi, nimekuja kujua maumivu ya kuachwa nikiwa nimeshaoa yaani ule mchepuko ulivoniacha imeniuma kishenzi.
 
kosa nililofanya ni kuwaacha wanawake wote nilio date nao, yaani nilikuaa nawalia timing penzi likinoga ndo napiga chini mtu kabla hata hajafikiria hilo.

nimeacha wanawake wengi hadi saivi nimeoa wife simuachi, nimekuja kujua maumivu ya kuachwa nikiwa nimeshaoa yaani ule mchepuko ulivoniacha imeniuma kishenzi.
Uliwaumiza sana Jamani
 
Back
Top Bottom