realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
- Thread starter
- #61
Mfanyie mpenzi wako kile kizuri unachojisikia Moyoni. Mpende na umjali vilivyoMimi sijaoa bado Ila tabia ya kujinyima ili nmfurahishe mwanamke ilinicost vibaya nilyumba kiuchumi wazee
hii stowahi fanya kosa hili Tena ntaish na kanuni inayosema "a boss provides 10% of what you produce"
Sasa kama mpenz wangu ananipikia ananifulia, anasafisha nyumba
it means kama unapokea 400k tuseme 40k(10% of 400k ya production yake )🤣ndio itamtosha na sitaki mjadala juu ya hili