Ni kosa gani umewahi kulifanya kwenye Mahusiano/Ndoa na umeapa kutorudia tena?

Ni kosa gani umewahi kulifanya kwenye Mahusiano/Ndoa na umeapa kutorudia tena?

Mimi sijaoa bado Ila tabia ya kujinyima ili nmfurahishe mwanamke ilinicost vibaya nilyumba kiuchumi wazee

hii stowahi fanya kosa hili Tena ntaish na kanuni inayosema "a boss provides 10% of what you produce"

Sasa kama mpenz wangu ananipikia ananifulia, anasafisha nyumba
it means kama unapokea 400k tuseme 40k(10% of 400k ya production yake )🤣ndio itamtosha na sitaki mjadala juu ya hili
Mfanyie mpenzi wako kile kizuri unachojisikia Moyoni. Mpende na umjali vilivyo
 
Mchepuko kunichezea mchezo wa ajabu, jogoo akawa hasimami pale ninapokutana na bi mkubwa.
Kwa mazingira hayo, imenifanya kila mwanamke ninayekutana naye nampiga mkwara, kuwa mimi ni nabii.​
Yani bado hujakoma 😅😅😅🙆🏻‍♀️
 
Hakuna kosa nililowahi kufanya mi ni mtu loyal ila huwa sina moyo wa msamaha kwa makosa yasiyo stahili kusamehe
Sio kitu kizuri makosa tumeumbiwa binadamu Luchaa 😜
 
Mchepuko kunichezea mchezo wa ajabu, jogoo akawa hasimami pale ninapokutana na bi mkubwa.
Kwa mazingira hayo, imenifanya kila mwanamke ninayekutana naye nampiga mkwara, kuwa mimi ni nabii.​
🤣🤣🤣 nabii wa nini
 
Kuna siku nimerudi home mida ya saa moja. Ile nagonga mlango kumbe waif amekaa sehemu aone naingiaje. Mjinga Mimi Sina hili Wala lile house gel alipofungua mlango nikamkumbatia Kama vile ndio mke wangu.
Siku Ile sitaisahau upesi.

Baharia ulinasa kizembe sana 🤣🤣🤣
 
Katika hali ya kawaida watu wengi hujikuta wamefanya makosa mbali mbali ikiwamo ya Usaliti.

Makosa hayo yanaweza kufanyika kwa kukusudia au kwa kutokukusudia.

Wakati mwingine inakubidi ufanye kosa hilo ili uweze kufanikisha Jambo fulani.

Je limewahi kukutokea hili, na ulivukaje?

Kuoa hii mbunga yangu hapa pembeni yangu!
 
Back
Top Bottom