Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi nimesema ni mke?Mke wako anakupikia unamla tigo? Mke amekuzalia watoto unamla tigo?0
Sio poa kabisa.
Soma Tena.Wapi nimesema ni mke?
Ni kosa gani umewahi kufanya kwenye mahusiano/ndoa..Soma Tena.
"Ni makosa gani umewahi kufanya kwenye ndoa"
Ilikua kawaida yenu kukumbatiana na dada au ni ile siku tu?Kuna siku nimerudi home mida ya saa moja. Ile nagonga mlango kumbe waif amekaa sehemu aone naingiaje. Mjinga Mimi Sina hili Wala lile house gel alipofungua mlango nikamkumbatia Kama vile ndio mke wangu.
Siku Ile sitaisahau upesi.
Katika hali ya kawaida watu wengi hujikuta wamefanya makosa mbali mbali ikiwamo ya Usaliti.
Makosa hayo yanaweza kufanyika kwa kukusudia au kwa kutokukusudia.
Wakati mwingine inakubidi ufanye kosa hilo ili uweze kufanikisha Jambo fulani.
Je limewahi kukutokea hili, na ulivukaje?