Ni kosa kubwa kama tutawafunga Algeria, Waafrika wenzetu hawatatusamehe

Ni kosa kubwa kama tutawafunga Algeria, Waafrika wenzetu hawatatusamehe

iron finger

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
358
Reaction score
220
Ni kosa kubwa kuifunga Algeria na kuwakosesha nafasi ya kushiriki kombe la dunia 2018, Wamekuwa wakiiwakilisha vizuri Afrika katika mashindano hayo kwa kuwa wana timu nzuri.

Nimeamua kuwaunga mkono Algeria leo kwa ajili ya uwakilishi bora wa Afrika kwenye Kombe la Dunia.

Hatuna timu ya kujivunia kwenda Urusi na ni kujidanganya na kupotezeana muda kuamini kama tunastahili kushinda tufungwe leo ili kuamini kuwa hakuna njia ya mkato kupata mafanikio tunayo fursa nzuri ya kuandaa kizazi cha kwenda Qatar 2022 na sio sasa.

Sioni ushindi wetu utatokea wapi kwa kizazi hiki kisichaoandaliwa tukutane 2022, Ni mtazamo wangu!
 
Ama kweli nimeamini kuna watu na viatu,sasa wewe mleta mada ni mmoja wao.
 
wewe ni msaliti kama wasaliti wengine .unastahili kupigwa risasi hadharani huku wimbo wa taifa ukipigwa.baada ya kuuawa watz tunashangilia wote kifo chako.nyamafu we!!!!
 
Wanafukuzwa watu wa maana hapa nchini tunaambiwa sio Watanzania huku hizi screpa zikitoa maoni machafu mitandaoni.

Ningebahatika kuwa jirani yako nisingekuwa na haja ya kwenda kutafuta changudoa, maana kwa sura na haiba yangu ipo siku ungenipa mkeo nikusaidie kumpa ujauzito kwa kuwa wewe sura yako sio nzuri
 
Huko kufanya vibarua kwa Waarabu kusikufanye na wewe ujione Mwarabu.
 
Mkuu nakuunga mkono kama mwafrika halisi , umefikiria nje ya box , tanzania tunaitaji tuwekeze ili kufanikiwa nashangaa leo watu wamejitwisha matumaini tele ya ushindi wakati hali halisi inajulikana , tunaomba haki itendeke Tanzamia 1 Algeria 4. mungu ibariki africa
 
Kwani sifa ya kuwa mtanzania lazima uwe lofa na mpumbavu?

Kufikiria kwamba Taifa stars wanaweza kufuzu kucheza kombe la dunia ni sawa na kupigia ccm kura ukiamini watawafunga mafisadi na kupigania rasilimali za nchi iwanufaishe wananchi.


Kama kungekuwa na mpira wa maneno ya vijiweni angalau watanzania ipo siku tungefuzu na kuchukua kombe.
 
Napingana na mleta mada kwa sababu zifuatazo
1. Twnzania nasi tunahiyaji kukuza soka letu. Hivyo kwa kuwafunga hawa hata kiwango chetu kwenye viwwngo vya FIFA kitapamda

2. Tanzania nasi tunahitaji kuwa mwakilishi wa Afrika siku sijazo hivyo lazima tuwafunge

3. Wachezaji wa Tanzania wanah taji kufikia kiwango cha akiwa Samata au zaidi yao. Sasa kuwafunga hawa jamaa kutaonyesha kukua kwa kiwango hicho na hivyo kuhitajika kwenye timu kubwa zaidi duniani.

4. Kukuza soka la Tanzania kutawafanya wanatanzania wapende zaidi soka na hivyo kuongeza kipato kwa TFF na wadau wengine kupitia soka.

NB: MNAMPINGA MLETA MADA TOENI SABABU NA SI KUJIFANYA WWZALENDO ZAIDI YAKE WAKATI KAWAPA SABABU....... WALIOPINGA HADI HAPA WAMEWNDIKA KWA HISIA TU... WENGI WENU HATA SOSEJI MNATUMIA ZA KENYA.... TIMU ZA MICHEZO MBALIMBALI MNASHANGILIA ZA NJE.... JUZI MMEMSHANGILIA SAMATA WAKATI MNASAHAU HUYO NAYE ALANZIA HUKU
 
Huyu utakuta ni mrangi anayefanyakazi ya kuuza bidhaa katika duka la Mwarabu si kosa lake ni akili ya za kitumwa.

Unapatikana mitaa gani mkuu?

Du! Huyu nae mtanzania mwenzetu kweli?

wewe ni msaliti kama wasaliti wengine .unastahili kupigwa risasi hadharani huku wimbo wa taifa ukipigwa.baada ya kuuawa watz tunashangilia wote kifo chako.nyamafu we!!!!

Huyu jamaa anatakiwa kuhama nchi

Huko kufanya vibarua kwa Waarabu kusikufanye na wewe ujione Mwarabu.

Hizi ndio akili kama za Jecha wa ZEC
 
Mkuu nakuunga mkono kama mwafrika halisi , umefikiria nje ya box , tanzania tunaitaji tuwekeze ili kufanikiwa nashangaa leo watu wamejitwisha matumaini tele ya ushindi wakati hali halisi inajulikana , tunaomba haki itendeke Tanzamia 1 Algeria 4. mungu ibariki africa

Hao Algeria wamewahi kufanya nini huko WC? Vibarua mnavyofanya kwa Waarabu vinawaharibu akili. Nyie ndio mfano mbaya kabisa kwa jamii. Kwa kuwa fulani maksi zake hazitoshi basi tumjumlishie fulani awe na nyingi bila kujifunza dhana ya mashindano
 
Tanzania leo itashinda bao 3 bila.Timu yetu siyo nzuri lakini tutashinda.tukifungwa itakuwa bahati mbaya na wala siyo timu yetu bado kabisa
Lakini leo tutashinda 3 bila kwa sababu ya Mbwana Samatta na Ulimwengu
 
Napingana na mleta mada kwa sababu zifuatazo
1. Twnzania nasi tunahiyaji kukuza soka letu. Hivyo kwa kuwafunga hawa hata kiwango chetu kwenye viwwngo vya FIFA kitapamda
2. Tanzania nasi tunahitaji kuwa mwakilishi wa Afrika siku sijazo hivyo lazima tuwafunge
3. Wachezaji wa Tanzania wanah taji kufikia kiwango cha akiwa Samata au zaidi yao. Sasa kuwafunga hawa jamaa kutaonyesha kukua kwa kiwango hicho na hivyo kuhitajika kwenye timu kubwa zaidi duniani.
4. Kukuza soka la Tanzania kutawafanya wanatanzania wapende zaidi soka na hivyo kuongeza kipato kwa TFF na wadau wengine kupitia soka.

NB: MNAMPINGA MLETA MADA TOENI SABABU NA SI KUJIFANYA WWZALENDO ZAIDI YAKE WAKATI KAWAPA SABABU....... WALIOPINGA HADI HAPA WAMEWNDIKA KWA HISIA TU... WENGI WENU HATA SOSEJI MNATUMIA ZA KENYA.... TIMU ZA MICHEZO MBALIMBALI MNASHANGILIA ZA NJE.... JUZI MMEMSHANGILIA SAMATA WAKATI MNASAHAU HUYO NAYE ALANZIA HUKU

Mkuu akili zako ni kama za jecha
 
Hahahahaaa dah mambo mengine yanafurahisha sana.
 
Back
Top Bottom