Ni kosa kumlinganisha Rais Samia na Hayati Magufuli

Ni kosa kumlinganisha Rais Samia na Hayati Magufuli

Sikuwahi kukubali baadhi ya matukio chini ya utawala wa Hayati Magufuli, lakini kwa pamoja tukubali Magufuli had what it takes to be the president of URT, alikuwa na sera thabiti za kiuchumi na alikuwa MZALENDO wa kweli as compared to Samia.


Jiwe alikuwa na sera gani thabiti za uchumi? Mikopo alikuwa akichukuwa kwa siri tena mikopo mibaya sana (mikopo ya kibishara) ambayo ndiyo inalitesa serikali ya mama Samia.

Jiwe alikuwa anaua sekta binafsi kwa kuwachukia , kuwapora na kuwafilisi wafanyabiashara.

Usirudie tena kumsifia jiwe, utaipata laana ya bure tu.
 
Kituo kimoja kigharibu Mil 500, nusu ya Bil . Hakuna Samia alicho delivery na zaid ninaona unaleta siasa. Nina ku transfer kwenye ignore list . Tunajadili mustakabal wa nchi inapoelekea na failures za huyo Mama , wewe unaleta Cheap politics za UVCCM. Ajira yangu ya Kwanza nilianzia Halmashauri huna cha kuniambia kuhusu hivyo vituo vya Afya, wewe unaviona kwenye picha mimi nimeviishi. Kituo cha Afya ni Kama nyumba ya mtu kijijini, unaponiambia ujenzi wake ni mil 500, that is why I see how dump you are. Ukija kwenye ubora hakuna Mtaalam wa Afya mwenye ratio mind anaweza kukaa hapo, Council hospital tu mwenye akil timamu na anafuture na maisha yake huwez kumuweka, uende ukakute mtaalam kituo cha Afya.

rais amejenga vituo vya Afya , chini ya JPM kumejengwa Referal hospitals na vituo vya Afya vingi as compared to Samia. Mpaka mwaka 2015 tulikuwa na total health facilities ( hapa sijui kama unanielewa nikisema Health facilities) jumla ya 6100. By 2021, Health Facilities country wide zime approach 8000( Source ; MoH) . Tena ujenzi huo umefanyika kwa pesa za ndani. Mama yako kajenga vituo vya Afya vingapi na kwa pesa gani na hujaweka pesa ya upigaji.

By the way , kuna Rais ambae hakujenga Health facilities ? Is it so unique kwa Rais kusifiwa kwa kujenga Health Facilities zisizokuwa na huduma zozote za maana ?

Is it so unique ? . That is very basic thing any president can do , nchi imeingia kwenye major inflation na economies of scale imepotea. Unaleta picha za vibanda,


Nimekuuliza unajua maana ya Kituo Cha Afya lakini? Kama unajua unaifahamu gharama zake au ndio huo utumbo unaosema inafanana na nyumba ya Kijiji?

Sihitaji kurudia nimeshajibu idadi ya Vituo vya Afya hata hizo health facilities zote takwimu zipo na nimekuwekea hapa 👇

20240319_101511.jpg
20240108_091436.jpg


Unazungumzia Hospital za Rufaa,kwani Awamu ipi haijanga hizo hospital? Kigoma ,Songea,Shinyanga ,Mbagala nk kote huko Hospital Mpya za Rufaa zinajengwa.

By the way 80% ya wateja wa Huduma za Afya wanaenda kwenye Huduma za msingi yaani District to Zahanati) Kwa muktadha huo ni sahihi kabisa Kwa Samia kuwekeza zaidi kwenye ngazi ya msingi na amewekeza kuliko Rais mwingine yeyote sio tuu majengo Hadi vitendea kazi.

Mwisho yaani bila aibu unalingia Vituo vya kutokea Huduma 8,000 Kwa miaka. 5 sawa na ongezeko la Vituo elfu 2 tuu? 😁😁😁😁😁

Ona jinsi Mama anavyowaaibisha Kwa namba hapa 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C6_ijS-KeVj/?igsh=aDFpdjZoc3c3NGdp

My Take: Usiwe unalinganisha Samia na loosers,utaaibika hakuna wa kumfikia kwenye delivery Kwa sekta yeyote 😄😄
-Digital X-rays
-Uktra Sound
-CT Cans
-MRI Machines

View: https://www.instagram.com/p/C6_iKzWqn7k/?igsh=MWtwZ3kzZTdrc3d2aw==
 
Jiwe alikuwa na sera gani thabiti za uchumi? Mikopo alikuwa akichukuwa kwa siri tena mikopo mibaya sana (mikopo ya kibishara) ambayo ndiyo inalitesa serikali ya mama Samia.

Jiwe alikuwa anaua sekta binafsi kwa kuwachukia , kuwapora na kuwafilisi wafanyabiashara.

Usirudie tena kumsifia jiwe, utaipata laana ya bure tu.
kumsifia au kumwelezea? MAGU alikuwa rais kwelikweli.
 
sunk namba tena, mafuta 1880/=Kwa 3440/=, dola 2100/=Kwa 2880/=,Bado habari ya miradi,au unataka namba zipi au za oven.
Unaweza kunipa bei na namba za 2015/16 Ili tuone kama Mwendazake alishusha? 😁😁😁😁

Kawaida ya Uchumi na maisha ni gharama kuongezeka ndio maana parachichi 1 unalonunua jero hapo Mbeya,Sweden au Finlandi ni 40,000-50,000.

Mwisho leta namba za ongezeko la vitu tangible kwenye uchumi sio upumbavu wako,niambie magorofa mangapi,viwanda vingapi,mashuke mangapi,mahospital mangapi,maji,Ajira, uwekezaji ,Utalii kiasi gani nk nk sio ujinga wa sijui nauli sijui nini na blaa blaa kama hizo.

Rais anapimwa kwa vitu vya msingi kama ongezeko la uzalishaji kama hivi 👇👇

View: https://twitter.com/The_EastAfrican/status/1797553130391077134?t=FE98g4SjmJxe0dtNqtd20Q&s=19
 
Unaweza kunipa bei na namba za 2015/16 Ili tuone kama Mwendazake alishusha? 😁😁😁😁

Kawaida ya Uchumi na maisha ni gharama kuongezeka ndio maana parachichi 1 unalonunua jero hapo Mbeya,Sweden au Finlandi ni 40,000-50,000.

Mwisho leta namba za ongezeko la vitu tangible kwenye uchumi sio upumbavu wako,niambie magorofa mangapi,viwanda vingapi,mashuke mangapi,mahospital mangapi,maji,Ajira, uwekezaji ,Utalii kiasi gani nk nk sio ujinga wa sijui nauli sijui nini na blaa blaa kama hizo.

Rais anapimwa kwa vitu vya msingi kama ongezeko la uzalishaji kama hivi 👇👇

View: https://twitter.com/The_EastAfrican/status/1797553130391077134?t=FE98g4SjmJxe0dtNqtd20Q&s=19

Wewe ni mnufaika wa hii trend,Kuna hii ya dola kuadimika nayo unajibu gani pamoja na mafanikio unayoyasema?
 
😁😁😁 .Wananchi wanahitaji Huduma wewe unauliza hela za kusiasiiwa sijui za wapi,hizo ni excuse za kitoto na kijinga maana huo ni Mkopo na utalipa.

Pili hela ya COVID sio msaada Bali ni Mkopo ambao Samia alichukua baada ya kukidhi vigezo ikiwemo Cha jo ambayo Mwendazake alishindwa.

Mwisho Ujenzi wa Kituo Cha Afya Kingine unaendelea,Je hii hapa ni covid 19? 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C7CQUXEtibk/?igsh=YWppdWdmZ3NuZHNr

My Take: Samia hawezi linganishwa na loosers waliotangulia.Amefanya wonders nyingi kushinda wengine Kwa mda mfupi sana,kazi zinaongea 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C7uMD34KDM-/?igsh=NWVpajJqcTlub2U3

Vituo vinajengwa kwa hela ya mkopo huo ndo ukweli . Cha muhimu wewe onyesha vituo hivyo na thaman yake kama gharama zinaendana. Je ni majengo tu ndo unasifia? Au vifaa na dawa vipo vya uhakika.?
 
Vituo vinajengwa kwa hela ya mkopo huo ndo ukweli hata ukibana kalio kukataa. Cha muhimu wewe onyesha vituo hivyo na thaman yake kama gharama zinaendana. Je ni majengo tu ndo unasifia? Au vifaa na dawa vipo vya uhakika.?
Kwani hela ya Mkopo sio hela ya serikali? Si utalipa?

Unavikumbuka Vituo vya tozo za miamala? Mwisho kinachotakiwa ni Vituo vya Huduma hela iwe ya Mkopo sijui ya nini ni Vituo hivyo
 
Hapana, anasema ukweli, tofauti ya Samia na Magufuri ni hivi:

Pros:
Magufuri aliwaza, alikuwa ana Vision (SGR, Nudhamu, Stiegler, Infracture investments, etc etc); alikuwa Genius, alikopa pesa kujenga train, watu watapanda tutalipa nauli na mizigo hela itakuja. Alikopa kulipa Bwawa, umeme utazalishwa industrial growth viwanda vitajengwa, ali-inest kwenye Meli za Mizigo, Victoria, Tanganyika Lake, Nyasa - border trade- hela itaingia na foreign exchange. Alinunua ndege to boost mobility na tourism- fedha zinaingia baada ya watu kusafiri.

Ali-invest kwenye human development, capital - Dodoma, ingawa inachukua pesa lakini alitaka kuonda gharama za kuwa na capital mbili Dar na Dodoma- now we see, it is going well.

Cons:
He was a dictator
One man Show
Hakuweza kujieleza vizuri kwa sababu alikuwa negative na media.

Huyu SAMIA: Haeleweki, hata budget zake pesa zinatoka wapi hatujui.

Pros:
Ati ana huruma - hivi kweli raisi inabidi awe na huruma
Mafisadi wote wanasherehekea
Anaongea ki-mama

Consos
Sidhani kama ana upeo wa mambo ya great thinkers
Kafunguria kila kitu kibaya kama wakati wa kikwete
Hajui anafanya nini yeye anafikiri watanzania wanahitaji pesa za kukopa tu wala hajishughulishi na domestic production hasa viwanda.
Si kiongozi, bali anaongozwa - kuna proxy

Fikiria kwa nini Magu pamoja na kuwa na vision kubwa kiasi kile lakini akawa dictotor? Mind boggling!!
 
Kaka wewe tulia tu hata hujui sekta binafsi ikoje!
Unasikia Makelele tu ya machawa! Sekta bunafsi uchwara ndo unayoona Samia kawezesha!
Sekta binafisi ya wizi na ujaza Wachina maana nijuavyo mimi hakuna mwekezaji wa maana alokuja kuwekeza tofauti wakati wa Samia!
Jiwe alikuwa na sera gani thabiti za uchumi? Mikopo alikuwa akichukuwa kwa siri tena mikopo mibaya sana (mikopo ya kibishara) ambayo ndiyo inalitesa serikali ya mama Samia.

Jiwe alikuwa anaua sekta binafsi kwa kuwachukia , kuwapora na kuwafilisi wafanyabiashara.

Usirudie tena kumsifia jiwe, utaipata laana ya bure tu.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Unaweza kunipa bei na namba za 2015/16 Ili tuone kama Mwendazake alishusha? 😁😁😁😁

Kawaida ya Uchumi na maisha ni gharama kuongezeka ndio maana parachichi 1 unalonunua jero hapo Mbeya,Sweden au Finlandi ni 40,000-50,000.

Mwisho leta namba za ongezeko la vitu tangible kwenye uchumi sio upumbavu wako,niambie magorofa mangapi,viwanda vingapi,mashuke mangapi,mahospital mangapi,maji,Ajira, uwekezaji ,Utalii kiasi gani nk nk sio ujinga wa sijui nauli sijui nini na blaa blaa kama hizo.

Rais anapimwa kwa vitu vya msingi kama ongezeko la uzalishaji kama hivi 👇👇

View: https://twitter.com/The_EastAfrican/status/1797553130391077134?t=FE98g4SjmJxe0dtNqtd20Q&s=19

Kwa mfano inflation imetokea kwa sababu sera za Exportations hazi favor exportation,Kama taifa tunafanya zaidi importation, hivyo wanauchumi kwa kuangalia trend , wanaona wazi by 2025 tutakuwa na hali ya Zimbabwe ya mugabe

Wewe endelea kutembea na vipicha vyako visivyokuwa na impact yoyote kwa taifa
 
Afya
Vituo vya Afya 354

Samia Vituo vya Afya zaidi ya 450

Mapato 1.5 T Kwa mwezi

Samia 2.2 T Kwa mwezi


Samia maelfu ya Ajira Kila mwaka,yule mwingine alishindwa kabisa.

Kama tuu Mapato yameongezeka kiasi Hivyo nani automatic Kila sekta utoaji Huduma umeongezeka kuanzia maji Hadi NIDA ilivyokuwa imeshindikana.

Huyo mtu wako zaidi ya kufoka hakuna jipya lolote kwenye uchumi.
Kumbe Magu hakufanya lolote? Huo ndio uelewa wako mkuu!!! Kazi kweli kweli!!
 
Back
Top Bottom