Sikuwahi kukubali baadhi ya matukio chini ya utawala wa Hayati Magufuli, lakini kwa pamoja tukubali Magufuli had what it takes to be the president of URT, alikuwa na sera thabiti za kiuchumi na alikuwa MZALENDO wa kweli as compared to Samia.
sunk namba tena, mafuta 1880/=Kwa 3440/=, dola 2100/=Kwa 2880/=,Bado habari ya miradi,au unataka namba zipi au za oven.Namba ndio zinaweka mizania sawa sio porojo zako
Kituo kimoja kigharibu Mil 500, nusu ya Bil . Hakuna Samia alicho delivery na zaid ninaona unaleta siasa. Nina ku transfer kwenye ignore list . Tunajadili mustakabal wa nchi inapoelekea na failures za huyo Mama , wewe unaleta Cheap politics za UVCCM. Ajira yangu ya Kwanza nilianzia Halmashauri huna cha kuniambia kuhusu hivyo vituo vya Afya, wewe unaviona kwenye picha mimi nimeviishi. Kituo cha Afya ni Kama nyumba ya mtu kijijini, unaponiambia ujenzi wake ni mil 500, that is why I see how dump you are. Ukija kwenye ubora hakuna Mtaalam wa Afya mwenye ratio mind anaweza kukaa hapo, Council hospital tu mwenye akil timamu na anafuture na maisha yake huwez kumuweka, uende ukakute mtaalam kituo cha Afya.
rais amejenga vituo vya Afya , chini ya JPM kumejengwa Referal hospitals na vituo vya Afya vingi as compared to Samia. Mpaka mwaka 2015 tulikuwa na total health facilities ( hapa sijui kama unanielewa nikisema Health facilities) jumla ya 6100. By 2021, Health Facilities country wide zime approach 8000( Source ; MoH) . Tena ujenzi huo umefanyika kwa pesa za ndani. Mama yako kajenga vituo vya Afya vingapi na kwa pesa gani na hujaweka pesa ya upigaji.
By the way , kuna Rais ambae hakujenga Health facilities ? Is it so unique kwa Rais kusifiwa kwa kujenga Health Facilities zisizokuwa na huduma zozote za maana ?
Is it so unique ? . That is very basic thing any president can do , nchi imeingia kwenye major inflation na economies of scale imepotea. Unaleta picha za vibanda,
kumsifia au kumwelezea? MAGU alikuwa rais kwelikweli.Jiwe alikuwa na sera gani thabiti za uchumi? Mikopo alikuwa akichukuwa kwa siri tena mikopo mibaya sana (mikopo ya kibishara) ambayo ndiyo inalitesa serikali ya mama Samia.
Jiwe alikuwa anaua sekta binafsi kwa kuwachukia , kuwapora na kuwafilisi wafanyabiashara.
Usirudie tena kumsifia jiwe, utaipata laana ya bure tu.
Unaweza kunipa bei na namba za 2015/16 Ili tuone kama Mwendazake alishusha? ππππsunk namba tena, mafuta 1880/=Kwa 3440/=, dola 2100/=Kwa 2880/=,Bado habari ya miradi,au unataka namba zipi au za oven.
Wewe ni mnufaika wa hii trend,Kuna hii ya dola kuadimika nayo unajibu gani pamoja na mafanikio unayoyasema?Unaweza kunipa bei na namba za 2015/16 Ili tuone kama Mwendazake alishusha? ππππ
Kawaida ya Uchumi na maisha ni gharama kuongezeka ndio maana parachichi 1 unalonunua jero hapo Mbeya,Sweden au Finlandi ni 40,000-50,000.
Mwisho leta namba za ongezeko la vitu tangible kwenye uchumi sio upumbavu wako,niambie magorofa mangapi,viwanda vingapi,mashuke mangapi,mahospital mangapi,maji,Ajira, uwekezaji ,Utalii kiasi gani nk nk sio ujinga wa sijui nauli sijui nini na blaa blaa kama hizo.
Rais anapimwa kwa vitu vya msingi kama ongezeko la uzalishaji kama hivi ππ
View: https://twitter.com/The_EastAfrican/status/1797553130391077134?t=FE98g4SjmJxe0dtNqtd20Q&s=19
Vituo vinajengwa kwa hela ya mkopo huo ndo ukweli . Cha muhimu wewe onyesha vituo hivyo na thaman yake kama gharama zinaendana. Je ni majengo tu ndo unasifia? Au vifaa na dawa vipo vya uhakika.?πππ .Wananchi wanahitaji Huduma wewe unauliza hela za kusiasiiwa sijui za wapi,hizo ni excuse za kitoto na kijinga maana huo ni Mkopo na utalipa.
Pili hela ya COVID sio msaada Bali ni Mkopo ambao Samia alichukua baada ya kukidhi vigezo ikiwemo Cha jo ambayo Mwendazake alishindwa.
Mwisho Ujenzi wa Kituo Cha Afya Kingine unaendelea,Je hii hapa ni covid 19? ππ
View: https://www.instagram.com/p/C7CQUXEtibk/?igsh=YWppdWdmZ3NuZHNr
My Take: Samia hawezi linganishwa na loosers waliotangulia.Amefanya wonders nyingi kushinda wengine Kwa mda mfupi sana,kazi zinaongea ππ
View: https://www.instagram.com/p/C7uMD34KDM-/?igsh=NWVpajJqcTlub2U3
Kwani hela ya Mkopo sio hela ya serikali? Si utalipa?Vituo vinajengwa kwa hela ya mkopo huo ndo ukweli hata ukibana kalio kukataa. Cha muhimu wewe onyesha vituo hivyo na thaman yake kama gharama zinaendana. Je ni majengo tu ndo unasifia? Au vifaa na dawa vipo vya uhakika.?
na tunamkumbuka shujaa wetu,MUNGU ampe pumziko jema mzalendo halisi.Mtanikumbuka (Rip JPM)
Trend gani we Mzee? Dola kuadimika sawa Je dukani hakuna bidhaa Kwa sababu ya Dola?Wewe ni mnufaika wa hii trend,Kuna hii ya dola kuadimika nayo unajibu gani pamoja na mafanikio unayoyasema?
Electronic ili mtukamate tukiiba?Wekeni electronic polling tupige popote
Namba ndio zinaweka mizania sawa sio porojo zako
Jiwe alikuwa na sera gani thabiti za uchumi? Mikopo alikuwa akichukuwa kwa siri tena mikopo mibaya sana (mikopo ya kibishara) ambayo ndiyo inalitesa serikali ya mama Samia.
Jiwe alikuwa anaua sekta binafsi kwa kuwachukia , kuwapora na kuwafilisi wafanyabiashara.
Usirudie tena kumsifia jiwe, utaipata laana ya bure tu.
Hoja nimeshaziweka humu ,pitiaWewe njoo na hoja zako! Magufuli alikuwa na mapungufu hasa kwenye mambo ya haki za binadamu ila kwenye issue zingine alikuwa mtu makini sana kamwe huwezi kumlinganisha na Mama!
Kwa mfano inflation imetokea kwa sababu sera za Exportations hazi favor exportation,Kama taifa tunafanya zaidi importation, hivyo wanauchumi kwa kuangalia trend , wanaona wazi by 2025 tutakuwa na hali ya Zimbabwe ya mugabeUnaweza kunipa bei na namba za 2015/16 Ili tuone kama Mwendazake alishusha? ππππ
Kawaida ya Uchumi na maisha ni gharama kuongezeka ndio maana parachichi 1 unalonunua jero hapo Mbeya,Sweden au Finlandi ni 40,000-50,000.
Mwisho leta namba za ongezeko la vitu tangible kwenye uchumi sio upumbavu wako,niambie magorofa mangapi,viwanda vingapi,mashuke mangapi,mahospital mangapi,maji,Ajira, uwekezaji ,Utalii kiasi gani nk nk sio ujinga wa sijui nauli sijui nini na blaa blaa kama hizo.
Rais anapimwa kwa vitu vya msingi kama ongezeko la uzalishaji kama hivi ππ
View: https://twitter.com/The_EastAfrican/status/1797553130391077134?t=FE98g4SjmJxe0dtNqtd20Q&s=19
Arguments zako ni za kichawa chawa too much. Bidhaa kuwepo dukani kwa bei isiyoshikika ndiyo mafanikio ya kujivunia?Trend gani we Mzee? Dola kuadimika sawa Je dukani hakuna bidhaa Kwa sababu ya Dola?
Kumbe Magu hakufanya lolote? Huo ndio uelewa wako mkuu!!! Kazi kweli kweli!!Afya
Vituo vya Afya 354
Samia Vituo vya Afya zaidi ya 450
Mapato 1.5 T Kwa mwezi
Samia 2.2 T Kwa mwezi
Samia maelfu ya Ajira Kila mwaka,yule mwingine alishindwa kabisa.
Kama tuu Mapato yameongezeka kiasi Hivyo nani automatic Kila sekta utoaji Huduma umeongezeka kuanzia maji Hadi NIDA ilivyokuwa imeshindikana.
Huyo mtu wako zaidi ya kufoka hakuna jipya lolote kwenye uchumi.
πMimi nauliza hivi Kwa Nini mkiwa na rais wa hovyo Huwa muda wake unachelewa kuisha? Mfano kama Sasa miaka ya huyu inaonekana kama miaka miamoja.