Ni kosa kumtongoza Mkuu wa Wilaya?

Kwani amemtongoza akiwa kazini au nje ya kazi?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
"Mbona mi nakademu kafid force nilikatongoza ila hadi sasa bado nakala mdogo mdogo, kakizingua gheto kichapo kama kawaida? Sema nn kujiamini, msela hakujiamini
 
Kumtongoza yoyote karne hii inabidi uwe makini inaweza kuchukuliwa kama Sexual Harassment
 
Huyo mkuu wa wilaya atakua alihisi jamaa kaweka loudspeaker kwa wana kijiweni hivyo akaona auwe soo
 
Mwanzo nilijua kamweka ndani Kiunyumba kumbe ndani ya Mahabusu duuh!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…