Ni kosa kumtongoza Mkuu wa Wilaya?

Ni kosa kumtongoza Mkuu wa Wilaya?

Katika pitapita zangu, nikajikuta wilaya ya Newala, nikiwa katika kijiwe kimoja cha bodaboda nikakuta kuna story ya mwaka juzi ambapo mkuu wa wilaya ya hapo ambaye kwasasa yuko wilaya ya Mbinga alimweka ndani kijana mmoja mwendesha bodaboda baada ya kijana huyo kumpigia simu na kuonesha kumhitaji kimahusiano (kumtongoza).

Naomba nijue kama kutongoza kiongozi ni kosa kisheria au hii imekaaje?View attachment 1955815View attachment 1955816
Kwani amemtongoza akiwa kazini au nje ya kazi?
 
"Mbona mi nakademu kafid force nilikatongoza ila hadi sasa bado nakala mdogo mdogo, kakizingua gheto kichapo kama kawaida? Sema nn kujiamini, msela hakujiamini
 
Kumtongoza yoyote karne hii inabidi uwe makini inaweza kuchukuliwa kama Sexual Harassment
 
Huyo mkuu wa wilaya atakua alihisi jamaa kaweka loudspeaker kwa wana kijiweni hivyo akaona auwe soo
 
Katika pitapita zangu, nikajikuta wilaya ya Newala, nikiwa katika kijiwe kimoja cha bodaboda nikakuta kuna story ya mwaka juzi ambapo mkuu wa wilaya ya hapo ambaye kwasasa yuko wilaya ya Mbinga alimweka ndani kijana mmoja mwendesha bodaboda baada ya kijana huyo kumpigia simu na kuonesha kumhitaji kimahusiano (kumtongoza).

Naomba nijue kama kutongoza kiongozi ni kosa kisheria au hii imekaaje?View attachment 1955815View attachment 1955816
Mwanzo nilijua kamweka ndani Kiunyumba kumbe ndani ya Mahabusu duuh!!!
 
Back
Top Bottom