Ni kujipendekeza? Ni kwanini wakristo wengi wanapenda ukaribu wa Israel wakati waisrael hawautaki ukristo?

U
Kuona dini hii ni bora hii sio bora ndio msingi wa maisha???
Hizi dini zinatuvuruga tu hakuna la maana narudia hakuna la maana, zinatutoa akili....kwaheri sipendi mijadala ya dini
Usipokuwa na dini utakuwa SAwa na mnyama tu
 
Ukirsto halisi upo kwa wakatoriki, ukiona jambo hilo wakatoriki hawana muda nalo ujue halina connection yoyote na ukristo, usidanganyike

Katoliki ni Mnyama soma ufunuo 17 Mungu atakuokoa.

UKRISTO ni Yesu.
 
Tofautisha Israel na Uyahudi, Mkristo anaposema Israel hamaanishi hao waabudu shetani.Hakuna Mkristo anawashobokea Wayahudi
 
WAISLAMU UKIWAWEKEA HII AYA WOOOT E WANAKIMBIA.

2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini

1.ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NI SHETANI.

2. ADUI WA MUNGU NI SHETANI.

3. ADUI WA GABLIEL NI SHETANI.
HIVYO BASI ADUI ANAYEZUNGUMZIWA HAPO NI SHETANI. SHETANI NDIYE ALIYESHUSHA QURAN.
 
Katoliki ni Mnyama soma ufunuo 17 Mungu atakuokoa.

UKRISTO ni Yesu.
Ukatoliki ndio umeutunza Ukristo kosa lao ni kuongeza mafundisho ya kipagani kwenye Ukristo.
Ukristo halisi upo kwa wanamatengenezo.
 

Unaandika kama unakula nyama pendwa (kitimoto) unaogopa kukutwa. Proof read ulichoandika
 
Kabakeni watoto
 
Acha kujieleza sana kwa dini ya majahazi😂😂
 
Kabakeni watoto
Ubakaji ni dhambi katika uislamu na hakuna sehemu kwenye quran imeruhusu labda .

😊 labda tusome biblia tuone inatuambia nini kuhusiana na kumiliki vitoto vidogo vya kike


Numbers 31:17-18

17 Now kill all the boys. And kill every woman who has slept with a man

18 but save for yourselves every girl who has never slept with a man.
 
Wanataka misaada wacha wajipendekeze
 
unanishawishi niritadi na kuupenda uarabu
 
Wagalatia hawana ufahamu mazuzu
 
Kuna tofauti gan sasa na nyie. Yesu anawapenda badala mje kwake mbatizwe mponywe Roho zenu mnamng,ang,ania Marehemu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…