Ni kujipendekeza? Ni kwanini wakristo wengi wanapenda ukaribu wa Israel wakati waisrael hawautaki ukristo?

Ni kujipendekeza? Ni kwanini wakristo wengi wanapenda ukaribu wa Israel wakati waisrael hawautaki ukristo?

unanishawishi niritadi na kuupenda uarabu
Labda ulimaanisha kusilimu (kuingia kwenye uislamu) ila kuritadi ni kutoka kwenye uislamu .

Kama ni kusilimu ni jambo la kheri Allah (subhana huwataala) akuongoze ila nikushauri sana usome si uingie kwa sababu umevutiwa nao tu ila uingie kwa sababu unajua nini unafanya .

Maana kitu cha kwanza kilichosisitiziwa sana kwenye uislamu ni kusoma si kufuata mkumbo.

Kila kheri na karibu kwenye uislamu.
 
Israel sio nchi ni wewe ukifikia njia ya perfection. Hiyo wakristo wanayoiabudu sio Israel inayozungumzwa kwenye vitabu kiujumla wapo chaka mno
 
Heri huko kwao uarabuni dini yao imejaa tele na ni ngome kuu ya tamaduni za dini yao.

Hali ya Israel ni tofauti kabisa, hawautambui kabisa ukristo, kwao wanabaki kuwashangaa wakristo wanapolazimisha ukaribu nao
Ila kwa vile inawaongezea idadi ya watalii katika nchi yao wanawavumilia ili wapate hizo fedha. Vinginevyo hawaitambui hiyo Imani yao.
 
000_Nic6479399-1-e1440587373884.jpg


Huwa nashangaa sana baadhi ya wakristo kulazimisha ukaribu na taifa la Israel kujidanganya kwamba dini ya kikristo inawaunganisha,

Wengine wamefika mahala kuweka bendera ya taifa la Israel makanisani, kwenye vyombo vya usafiri, wallpaper za simu, n.k.

Wayahudi sio wakristo na wanampinga Yesu kwao hawamtambui, ila nguvu wanayotumia wakristo kulazimisha ukaribu na wayahudi inashangaza sana kiasi cha kuonekana wazi wakristo wanajipendekeza maana wao wayahudi hawautambui ukristo

Mjumuisho wa dini ya kikristo israel ni kwamba asilimia 1 tu ni wakristo, yani hapa katika waisrael 100 kuna mkristo moja tu.

Kwao hawamtambui Yesu kwamba alikidhi vigezo vyao kwahio hawautambui ukristo lakini hali ilivyo kwa mataifa ya kikristo ni kama wanajipendekeza sana kuwa karibu na waisrael ambao wao hawautambui ukristo .
Unaweza kutoa mifano halisi hao wakristo ni kitu gani wanafanya mpaka uone ni kwamba WANAJIPENDEKEZA kwa Waisraeli? Maana umeandika tu bila kusema excactly what are they doing.
 
Back
Top Bottom