Mkimuyangu
JF-Expert Member
- Oct 5, 2022
- 1,054
- 1,947
hakika mzee[emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kilaa mtu anamnaa yake yakuondoka hom,na kuna wengine mpk leo hawajaondokaa makwao na hawana mpngo huooo...nyumba alijenga Babu mpk wajukuu wataitumiaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Una miaka mingapiAisee mnatutamanisha sana jobless tulio home.
We sindio yule mzee wa kununua malaya[emoji23][emoji23][emoji23]Mi bado nipo wadau Ila nasoma chuo Nina 20 years mnanishauri nn asee namalizia nikiwa na 22 years
Mimi binafsi namaliza mwaka wa3 chuo naaapa nikirud sikai home ni bora nikose kazi ya udaktari lakin nitafanya kzi yyte ila sio kukaaa home nitapambana tuHakika ilikuwa ni siku ambayo binafsi niliumia, ni baada ya kushindwa kuendelea na elimu yangu nilipomaliza form 4 mwaka 2012..
pale home nilionekana nipo nipo tu, ikabidi nitafte mishe ya kujifunza useremala lengo likiwa nikianza kupata pesa nihame, haikuwa kama nilivyotegemea....
😁 mtaani ukatafute kwakoNiondoke kwetu niende wapi sasa jaman
Yes vipi mkuu 🌴We sindio yule mzee wa kununua malaya[emoji23][emoji23][emoji23]
Upo muhimbili sio 👻Mimi binafsi namaliza mwaka wa3 chuo naaapa nikirud sikai home ni bora nikose kazi ya udaktari lakin nitafanya kzi yyte ila sio kukaaa home nitapambana tu
Hapana we upo wpiUpo muhimbili sio [emoji317]
Fanya mpango bhas tuconnectiane mbususu [emoji23][emoji23]Upo muhimbili sio [emoji317]
Mi nipo Dar sasaiviHapana we upo wpi
Hio ilikuwa nilivyokuwa Arusha nimerudi chuo sasaFanya mpango bhas tuconnectiane mbususu [emoji23][emoji23]
Umri wakoNimeondoka home 2021 December sasa nina mwaka tangu nimeanza kujitegemea kikweli Mungu ni mwema nafikiri ningeanzaga mapema ningekuwa mbali zaidi
Pole sana Nyalumana,Aisee mimi nmeondoka home 1998 baada ya kumaliza kidato cha nne,nilikuwa napapenda sana home hadi leo napapenda sana ila pale home dingi alikuwa na mgongoro wa ardhi...
Achana na Visasi Mkuu,Nina jirani nimekuwa namshika Sana mkono inasemekana alikuwa na vyeti fyeke vya bwana jiwe..Basi Mimi ninafuga kuku kwangu na yeye anafuga kuku kwake,,Sasa kuku wake mmoja ikawa hajui anatagia kusikofahamika jamaa akawa ananishutumu Sana kupitia wanangu yaan akiwaona wanangu anawaambia mnakula mayai Yangu,,Mara mnakula kuku wangu aisee..Aisee mimi nmeondoka home 1998 baada ya kumaliza kidato cha nne,nilikuwa napapenda sana home hadi leo napapenda sana ila pale home dingi alikuwa na mgongoro wa ardhi na mama mmoja jirani yake kiasi kwamba kila mara walikuwa wakipelekana mahakamani na dingi mara zote alikuwa anashinda.
Yule bibi alikuwa mtaalamu wa kutengeneza matukio ya ajabu hasa ya kuonekana anaonewa ili serikali na jamii iwe upande wake na sisi kama vijana tulikuwa upande wa baba tukiona kweli anaonewa.Sasa bwana kuna siku nyumba ya huyo bibi ilichomwa moto japo inasemekana huyu bibi na kijana wake walichoma wenyewe,
ikawa washukiwa ni dingi na bro wangu wakakamatwa na kukawa tetesi kuwa yawezekana na mimi nilishiriki zoezi hilo.Mama yangu alivosikia tetesi hizo na ndo nimemaliza shule alifanya mpango na kunitorosha usiku wa manane na kunipandisha bus alfajir kwenda mkoa mwingine ambao niliendelea na masomo na baadae kazi,familia na maisha yangu yakaanzia hapo hadi sasa.
Kesi ya mzee na bro ilichukua muda sana Kwan walikaa ndani mno ukizingatia vijana wa yule bibi walikuwa na pesa waliitumia vilivyo kuhakikisha wanakandamiza familia yangu,kesi tulikuja kushinda na kuonekana hatuna hatia but mzee alitoka huko jela tayari amekata tamaa na hakukaa muda mrefu,alifariki.
Nipo mbali na home na wala sijawahi ht kuwaza kujenga kibanda changu huko,nimebaki kumfanya mama yangu aishi km malaika hapo nyumbani kwake alikomwacha mzee,but kisasi changu bado kipo rohoni