Ni kutojitambua mwanaume ukikimbiwa na mwanamke kwa sababu za kiuchumi

Usikariri kuwa kila mwanaume anae kimbiwa au Kutalakiana na mke wake ni kwa sababu mme ka-lost! Mfano Jeff Bezos, Bill Gates, Roman Abramovich, Kanye West......!
 
kwahiyo baba unatushaurije sisi wanawake ambao waume zetu wamefulia, vipi tubaki tukiwavumili ili wapate waje kutusumbua na michepuko yao, au tutimue mbio bila kugeuka nyuma!!?
 
Usikariri kuwa kila mwanaume anae kimbiwa au Kutalakiana na mke wake ni kwa sababu mme ka-lost! Mfano Jeff Bezos, Bill Gates, Roman Abramovich, Kanye West......!
Umeelewa uzi au umedandia? Huu uzi ni juu ya wanaume wanaolia na kulalamika kuhusu kukimbiwa na wake zao baada ya kipato kuyumba
 
kwahiyo baba unatushaurije sisi wanawake ambao waume zetu wamefulia, vipi tubaki tukiwavumili ili wapate waje kutusumbua na michepuko yao, au tutimue mbio bila kugeuka nyuma!!?
Changanya vizuri karata zako na piga mahesabu vizuri maana huko uendako hakuna guarantee! Uamue ama kukaa na huyo mumeo ufe na umasikini; au ubusti ubongo wa mumeo aone fursa mtoke wote!; au kama aelewi na wewe una plan B sepa! We want men to come to their senses! Ms R
 
great thinker,, what a marvelous answer 😌🤼‍♀️ thanks
 
Poa umesomeka
 
Mtoa maada ukosahihi lakin ingekuwa hivo ulivosema wew ndo inavotakiwa iwe kwenye jamii,inawezekana hata Mama yako kuna kipindi ange mkimbia baba yako.
Pia Mwanaume anayependa uhai wake na future nzuri ya familia yake hapaswi kufanya vitu ili mkewe asimkimbie,maana njia za utaftaji sio rahisi kuzicontrol etikisa una wanaokutegema vingnevyo utakufa na sonona.
Kwa upande mwingine WANAUME tuache kuwalilia wanawake wanapotukimbia kama tunaviwango vya chini kuliko wanavyotaka tuwaache waende kiroho safi.
Wanawake tumieni haki yenu ya msingi msikubali kuishi na wanaume marofa wasio weza kuwahudumia kadri mnavyotaka,ilihali mnauwezo wa kuwakimbia na kwenda kuishi yasiyo mzigo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…